Mtoa mada umekua bias sana kwenye uandishi wako especially pale unapomwita huyo mhadhiri kilaza. Pamoja kua hio ilikua ni Test one still huyo mwanafunzi kapata 26/50. This is an average student kwa sababu Test 1 inafanyika mapema sana meaning kua hata vitu vya kusoma upande wa mwanafunzi bado ni...
Mshukuru Mungu kakuonyesha uovu wa mkeo. Kulala na wanaume 17-25 kwa mwezi sio mchezo. Huyo ni zaidi ya changudoa. Ushauri wangu ni kwamba huyo sio mke. Tafuta mwingine oa mkuu. Otherwise pressure itakuua soon coz kila atakapokua shift ya usiku lazima utakua na stress ya mkeo kuliwa.
Tena...
Dhu! Jana nimetibuana na mke wangu na ni mjamzito. Kumbe kile kisirani na hasira yawezekana sio kile kiburi chake cha kila siku. Hata kabla ya mimba hua ana kiburi sana. Muda mwingi nashindwa kutofautisha kiburi chake cha asili na kile cha mimba. Nitaisoma namba mwaka huu.
Thanks Kichomiz kwa mada nzuri. Ndoa nyingi zimevunjika kwa huu uzembe wa wanaume kuendekeza michepuko. Nikisoma kisa cha Samson na Delila nagundua kua wanaume wengi tunakua dhaifu tukishapenda. Samson was very strong physically but very weak emotionally. Ndo maana Samson pamoja na nguvu zake za...
We mleta maada umekula maharage ya wapi. Umeandika ----- tupu. No research no right to speak. Anza kujenga safina kama Nuhu coz mafuriko ya October ni hatari.
Mkuu what if sio ndoa halali?. Wanaishi pamoja na wana watoto 2 japo hawajafunga ndoa halali. Je hii inamwondolea mshikaji haki ya kuuliza hizo issues???
Habari za weekend wana JF,
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nina jirani yangu na rafiki yangu amenifuata leo asubuhi ni kutaka ushauri juu ya jambo flani. Jamaa yangu kuna mida alikua na pesa za maana lakini badae akaja akafulia baada ya mzigo na mali zake kutaifishwa kwa ajili ya kukwepa...
Thanks sana mkuu for sharing this. Nilikua naulizia juu ya modes of payments coz naamini watu hawasafiri na pesa mfukoni kwenda kuchukua mzigo. Njia rahisi ya kulipia ni ipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.