nashukuru sana !!! kwa maelezo yako mtu mwema naweza kupata hizo no za hawa jamaa wa SUA kwani nataka kuazisha kilimo cha mizaituni na ningependa kuongea nao kujua inakuwaje mimi sio kwa ajili ya bustani nataka kwa ajili ya kuzalisha mafuta yake nipo na sokotayari :A S-alert1:
ningependa kujua wapi Tanzania kunazalishwa zao hili la mzaituni au kwa kingereza wanaina Olive
nitafurahi sana kupata maelekezo drop me mail @ macnabsons@telkomsa.net
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.