Ni ya mwaka 2000, imetembea kilometers 137,000km. TD 42 engine. Suspension safi kabisa, ina Air Condition, tairi mpya. Gari iko katika hali nzuri sana.
Bei 30 million
Tel: 0622 362651
Habari za muda huu,
Mimi ni mwanafunzi niliemaliza diploma 2017, sasa nilikua nataka kupata Award Verification Number ili niweze kuendelea na elimu ya juu. vitu gani napaswa kuwa navyo ili nipate hiyo AVN.
ASANTE
Hdd-1Tb
RAM-4GB
Processor - 2.1Ghz
Battery life- exceptional 7 hr,(tested and proved)
Usb port - present
HDMA port - present
Microsoft office 2016 ( Office 365 )
Ni laptop mpya kabisa ya mwaka 2016. Inakuja na antivirus ya Webroot. Ni very slim na portable, very fast indeed. Inakaa na chaji...
ENGINE NA GEAR BOX YAKE KWA PAMOJA VINAUZWA. ENGINE NI NZIMA KABISA NA INAWAKA, NA GEARBOX YAKE NI NZIMA PIA, BEI KWA VYOTE NI MILLION TANO, (5,000,000/=). NIPO DODOMA MJINI. MAWASILIANO 0622-362651 0655-362651
habarini za mchana wakuu, natafuta mahindi ya njano, yale ambayo unga wake watu huuita unga wa yanga. ninahitaji tani 10. mahindi yawe yanatoka Dodoma, maana wao wanalima bila mbolea. kwa anaejua wapi naweza pata kwa mkoani Dodoma ntashukuru sana, au kwa namna yoyote ile akiweza kunisaidia...
ghafla tu majira ya saa saba kasiro saba,usku. Data imekata,na simu hazitoki, wanasema sijasajiliwa. Nmeweka laine nyingi nayo ndio haisom kbsa, shida iko wapi.
Habari wakuu, engine ya gari yangu ina matatizo,hivo nmeamua kutafuta nyingine, gari ni ya mwaka 1996, engine ya 4,600 cc, HSE ( high specified edition). Kwa anaejua wapi naweza pata ntashukuru sana.
Habari za leo wakuu, ninataka kudownload file la windows 8 kupitia torrent, lina ukubwa wa 3.77 GB. alafu niliweke kwenye flash, kisha ni install, naomba mnijuze nina hitaji kufanya nn ili nifanikiwe katika hili, natanguliza shukran
Habari wakuu, nina lenovo ideapad, imekuja na windows 10 installed kabisa.sasa leo nlikua nafungua settings lakini hai respond. Kwa anaejua solution ntashukuru sana[emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.