Siku za mwizi ni _____________
Unajua kuna wakati nilimuona Zitto anajiamini sana, ikanikumbusha wakati nikiwa kijana mdogo, mimi nilikuwa mchezaji mpira maarufu sana, bila mimi eti timu yangu haiendi uwanjani kwa hivyo mara nyingine nilikuwa nafanya makosa fulani kwa makudi halafu wakija...
Mwigulu una tatizo la akili nakushauri uwahi Mirembe Hospital haraka! na kama akili zako ziko sawa ebu jibu hii kwanza;
Subject: Fw: kazi nzuri
Date: Sunday, November 17, 2013 20:28
From: " Mwigulu Nchemba " <shimbi85@gmail.com> >
To: Emmanuel Nchimbi < nchimbie@yahoo.com >
On Sunday...
Nimejaribu kufungua website ya CHADEMA ili niangalie mambo fulani lakini nikatakiwa niingize password na imeandikwa "Protected Site", na hakuna sehemu ya yoyote inayoruhusu kuji-register. Wadau naomba msaada wenu. Kitu nilichokiona kiko katika picha hapa chini.
Mhe Freeman Mbowe akimpa pole Mke wa Marehemu Albertha Zamberi, aliyevaa shati ya kitenge pembeni yake ni Kijana Mkubwa wa Marehemu Ndugu Emanuel Ngobai.
Mhe Freeman Mbowe akibadilishana mawazo na kupata maelezo kutoka kwa kijana Mkubwa wa Marehemu Mzee Zamberi Ngobai Mwisarya anayeitwa Emmanuel...
Inawezekana Esther akawa anatishia maisha ya Kisiasa ya Mzee Tyson ndani ya CCM si zaidi ya hapo (kwenye kura za maoni). Nje ya CCM hawezi kufurukuta. Ni kweli amejitahidi kuanzisha mashindano yake ya mpira ili kukusanya vijana na kujiweka sawa, lakini hata yeye anajua hawezi kushinda jimbo hili...
Hapa Dr. Slaa anaigiaje? Aliaye anzisha habari hii ametoa jinsi anavyomfahamu Katibu Mkuu huyo mpya na nafikiri ungeonekana mwenye akili nyingi kama aidha kupinga alichoandika kwa maana ya tabia ya huyo Sifuni au kukubaliana naye, sasa Slaa anaingiaje kwenye hoja kama hii!!! Najua tatizo...
Kumekuwa na kelele kwa siku nyingi kutoka kwa viongozi CCM kwamba CCM ni chama sikivu na imejitahidi kuleta maendeleo katika nchi, kama unakumbuka ndugu mwana JF, kuna wakati CCM ilianzisha vipindi kwenye TV na RADIO kuonesha maendeleo yalioletwa na chama hicho, na wakawa wanapita mijini tu...
Attn: Mr Nape:
Nape, aibu kwako! bado hujaacha kuonesha utoto wako wa kifikira!! wakati wa uchaguzi wa madiwani uliopita uliibuka na kisa kilichoshanganza wengi ambacho ulitaka kuonesha katika uchaguzi ule CCM iliishinda CHADEMA bila kufafanua kwamba awali mlikuwa na viti vingapi, na vingapi...
Niliamua kwa dhati kuanza kufuatilia kwa makini maoni na kile unachoandika Lukosi, nimegundua yafuatayo:
1: Ulilelewa na wazazi wako kwa kudekezwa sana, hii imeharibu uwezo wako wa kufikiri, huwezi kukaa na kufikiri kwa kina kabla ya kusema au kuandika.
2: Wazazi wako au jamaa zako wa karibu...
Ukiona hivyo ujue ukombozi uko mlangoni... Serikali zote ambazo zimekaa sana madarakani zikitaka kuondoka huwa zinafanya makosa ya aina hiyo hiyo.... utakuta kila mtu serikalini anakuwa msemaji na anatoa majibu ya hovyo hata kwa viongozi ambawo inabidi kuwaendea kwa akili... Pengo ni mtu mkubwa...
Mwigulu naomba urudie kuangalia hayo uliyoandika na zaidi naomba uangalie kwenye red, ulichokiandika kinatia mashaka, unasema hukumkimbia Dr kwa sababu hukumuona na unafikiri na yeye hakukuona!!! Hapa ndipo tatizo linaanzia, kwa nini ufikiri hakukuona??? maana yake unakiri Dr alifika katika...
Nape Nape naomba ujitokeze useme chochote!! Ingekuwa ni zile enzi za utoto ningesema 'kama wewe ni mwanaume hebu choma hapa' wakati umeweka mchanga kwenye mkono, hii nikimtaka Nape atokezee kwa ujasiri hapa JF au hata jukwaani apinge hii kwa nguvu zote, au kama hiyo hawezi namuomba Nape aseme...
Niliwahi kusema, ukikuta mtu anatumia mdomo wake vibaya kwa kuropoka ropoka ujue kuna shida kwenye maisha yake, malezi yake, Elimu yake, ni vema tukafuatilia namna alivyolelewa na kukua n.k!! Kuna dosari hata kwenye hiyo CV ambayo ameamua kutupa ingawa swali kubwa hapa tulihitaji matokeo yake ya...
Mbio za sakafuni huishia ukingoni. Kama Nyakarungu hajajifunza kwa wenzake, basi sikio la kufa halisikii dawa! Ndio maana tunasema CHADEMA ina Mungu, kitendo cha Dr kuwakuta raivu si cha kawaida! huo tu ni ushindi tosha!
Mapendekezo yako ni mazuri ajabu, bahati mbaya umeyatoa kwa nchi isiyosikia. Ngoja nikukumbushe kitu kimoja Mwanakijiji, Nchi ikishauriwa na mtu ambaye hayuko kwenye system yao tena wa karibu kabisa na utawala, hawawezi kuufanyia kazi ushauri huo kwani wanafikiri wataaibika, watapuuza na kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.