ninachofahamu ratiba ziligawiwa na ziliwekwa kwenye kila kiti sasa kama ulisimama na ulikuja bila kualikwa ndio madhara ya kukaa uswahili kusubiri ubwabwa wa maulidi usiyoalikwa... sikuhitaji kuwa mc ili kupata ratiba....
subiri kuna kitu wanatarajia kukifanya mwezi huu nadhani wanaita post enumeration survey ni kwa ajili ya kutathmini vitu kama hivyo, then una fanya marekebisho kidogo. kwani hamkusikia hotuba nyinyi, au ndo mnasubiri notes ili mkatoe photocopy ilihali darasani hamkuhudhuria....
nimebaini jf walio wengi ni vihiyo, wanacomment kwa ushabiki na si kwa data, nilidhani mnayoyasema yote ni ukweli kumbe leo nimefahamu.... yaani mtu hajui hata umuhimu wa sensa, nendeni tnbs mkaelekezwe basi... kwa maelezo machache niliyomsikia rais akisema, takwimu zile za jumla anazozitoa leo...
kaka naona hukuwa na ratiba ya shughuli hiyo na hii inatokana na kuvamia shughuli za watu, si kweli kwamba shughuli ilitakiwa kuanza saa mbili kama ulivyotangaza. rais alifika saa 4 na dadika 17 kwa hiyo alikawia (na si kuchelewa) dakika 12. muda mwingine tuwe tunaongea ukweli wa mambo...
fungua macho wewe, hivi sabodo unaweza kumfananisha na chama chenye uwezo na malengo ya kidini kama hicho, sabodo ni mtanzania akiiuza tanzania naye atakaa wapi... nyinyi mna malengo ya kidini si mseme wazi tuuuuu
wehu wengine bwana: me nawashangaa sana wehu kama nyinyi, hv unaweza kutofautisha nini hapo. kama unasema huli nguruwe lakini mchuzi wake unakunywa maana yake nini.... kazi mnayo na udini wenu huo
kwani yeye alikuwa Mungu hadi unamkingia kifua? mbona hata kauwa watu wengi tu? na kwa taarifa yako, kiuhalisia CCM haikuanzishwa na yeye ila alikuwa mmoja wapo wa wengi waliofanya uanzilishi huo.
Kinachonishangaza ni kazi mnayoipata kumhusisha Kikwete na upuuzi wa Nyerere baba yenu.
Aisee wewe ni mwehu kwelikweli, ina maana hiyo elfu 10000 ndiyo inayomfanya aache mamilioni ya fedha kwa muda ambao angetumikia kama diwani? au wewe ndo wale wanaouza ng'ombe kwa kesi ya kuku?
JF kweli kuna majuha, me naona tungeondoa hiyo kauli mbiu sijui niiteje, ya home of Great thinkers...
wewe mwehu, alichokisema thinktwice ni kitu ambacho hakihusiani na hicho unachikisema. sijui tafsiri yako ya udini iko vp? Hili ni suala la msingi ndo maana wakristo wengi walidemand uchaguzi kutofanyika siku ya j2. na ukiangalia ni kweli, ni haki ya msingi ya kila mwanajamii. thinktwice ametoa...
kumbe humu jf majuha wengi kwelikweli. sasa suala la adhana na ibada za asubuhi limeingia vipi hapa. wewe ni juhaa uliyekubuhu, kudadadeki wee!!!!!!!!!!!
Nadhani ndugu yangu usingelileta hili humu jf. Nina maana kwamba, Serikali iliposema subirini kwanza kwa babu ili uchunguzi ufanywe wana jf hao unaowalalamikia walikuwa mstari wa mbele kulalama na akina slaa walishaichukuwa kama ajenda ya mikutano yao..
Yakujitakia hayaumi kaka/dada.
Ushauri...
Nazjaz naomba niwasiliane nawewe, email yangu ni sbilingi@gmail.com, then huko nipatie namba yako ili nikupigieee. Nimependezwa sana na majibu yako.
Hizo red hazinifanyi nisitishe hazma yangu...
Check red:
Ninavyowapenda wamarekani ni kwamba vifaa vyao vya kijeshi ni bora sana ila tatizo vikifika uwanja wa vita tu ndio hupata hitilafu na kuanguka, sijui tatizo hili litaisha lini???????????????
Hivi unadhani yanayofanyika tanzania ni mageni katika dunia hii. kwa nini unadhana kwamba wanajeshi wanene na wenye vitambi wapo tz tu. kwa taarifa yako ata nchi za nje wapo. wewe mwenyewe umeweka picha ya mwenajeshi kibonge kwenye profile yako una maana hujui. for more information waangalie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.