MYAO WA KASKAZINI kama unavyojiita, hiyo uliyotumia ku post hayo mawazo yako sii akili ya shule wala ya kuzaliwa ila mwenda wazimu tu ndio anaweza kusema ulichokisema,lkn una uhuru pia wa kutoa mawazo yako,wenye akili tumekupima tumekuelewa. kama wewe ni muumini wa dini hizi kubwa mbili Mkristo...
Inaelekea siasa hamzijui,Lowasa japo mmekaa nae miaka lukuki bado hamkumjua. Nasema hivyo kwa sababu Mh Lowasa hakuwahi kukurupuka kwenye siasa kama mnavyofikiri kwa akili ndogo,tangu amalize elimu yake ya juu hakuwahi kuajiriwa popote zaidi ya siasa,hivyo siasa za Africa na za kilimwengu...
Hao wanaomsifia Magufuli ni wale wale waizi wa KURA lakini mwisho wenu utafika tu. Kama c ufinyu wa ubongo (akili ndogo) ataweza wapi kutembelea Tanzania nzima kwa kushtukizia? Huu ni moto wa karatasi tu,hata siku 100 hazitofika keshalegea,kwanza huko Hazina kaambiwa hakuna hata cent...
Bado mpaka sasa sijaelewa,mwanzo wa story tuelezwa ni utabiri sasa naona anayetoa utabiri humo humo anatukana,SIELEWI kama ni utabiri ameutafsiri au ni mawazo yake kama mkereketwa?
Mtoa mada atakuwa na ugonjwa wa kusahau bila shaka, kwani Dr.Slaa kafukuzwa na nani? amekaa pembeni mwenyewe na akirudi hata leo ataendelea na nafasi yake,au umesikia kuna katibu mkuu mwingine kachaguliwa? Shida nyie watu wa CCM mnadhani mnaweza kutuendesha mtakavyo, kama lini fisi akamwonea...
Mtoa mada atakuwa na ugonjwa wa kusahau bila shaka, kwani Dr.Slaa kafukuzwa na nani? amekaa pembeni mwenyewe na akirudi hata leo ataendelea na nafasi yake,au umesikia kuna katibu mkuu mwingine kachaguliwa? Shida nyie watu wa CCM mnadhani mnaweza kutuendesha mtakavyo, kama lini fisi akamwonea...
Huyu mtoa mada tangu awali mwelekeo wake umeonekana,kwanza niseme tu yeye anajidai anamjua sana Mungu wakati lugha zake tu za kumkejeli Lowassa na kumtukana zinamkosea Mungu,shetani hata siku moja hawezi kutoa ushauri wa kumfwata Mungu,ninachokiona hapa ni WOGA WA CCM juu ya LOWASSA. Niwape pole...
CCM wamechanganyikiwa nawahurumia kwani hawaamini kile kinachokwenda kutokea,lakini kwa sababu Mungu ameamua kuwapofusha ili waione wala kusikia watazinduka siku ya matokeo ya kura,usicheze na mtu akikuchoka bana,hata mke akikuchoka potelea mbali una mali kiasi gani ataondoka tu, WATAISOMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.