Mimi ombi langu tunaomba mtuwekee channel ya TBC INTERNATIONAL. Tumechagua startimes kwa lengo maalum hivyo ni vyema kabisa tukazipata channels zote za TBC. Niko Singida, CHAGUA STARTIMES UPATE UBORA WA MATANGAZO NA CHANNELS BORA
kuna mbunge mmoja wa znz kaniacha hoi kweli eti yeye anaunga mkono serikali mbili eti anasema serikali tatu zitavunja muungano na mimi nina kaya zangu mbili tatu lushoto nitamuachia nani. Yaani yevaangalia lake si la wananchi.ndivyo wajumbe wa ccm wote walivyo. Hawana hoja ya msingi ya kupinga...
Tujiandae kuipinga katiba mbovu itakayopitishwa na wajumbe wabovu wa ccm. Ikifika kura ya maoni tuiangushe katiba hiyo mbovu labda wazingatie maoni ya wapinzani walio wachache
Mpaka sasa hakuna hoja yoyote ya msingi iliyotolewa ya kutetea serikali mbili na mjumbe yoyote bali nasikia malalamiko tu ya muungano utavunjika na hadithi nyingi za paukwa pakawa. Inanipa mashaka kuwa mlipelekwa wengi kwa ajili ya kupitisha kwa wingi wa kura si kwa hoja. Lakini kila aliyesimama...
Kulingana na habari za awali tulizo nazo bus hilo la Bunda limefumaniwa kwenye kivuko cha treni na kugongwa.Mpaka sasa ni watu 4 wamethibitika kufa na tunaendelea kufuatilia habari zaidi juu ya tukio hilo ikiwemo sababu ya msingi ya kusababisha ajali hiyo.Tutaendelea kuwajuza zaidi chochote...
Nashangazwa na kauli ya CCM kuingia bunge la katiba kwa misimamo ya chama chao kiasi kwamba wanasahau kuwa iliundwa tume ya kuratibu maoni ya wananchi kuwa wanataka katiba mpya iweje na nini kiwekwe ili kupata katiba itakayotuongoza. Wabunge wa bunge la katiba mnapoingia bungeni kwa kuelekezwa...
Ni Isuna ile ile tu sio mbali saana na pale ilikogonvwa Noah. Picha mkuu hazijachukuliwa kirahisi kwasababu pia ilikuwa mvua na patashika ilikuwa kubwa kiasi kwamba watu wataanza kukushangaa wewe unayeshughulika na picha badala ya kuokoa watu. Picha zitatayarishwa zitawekwa wakuu.
Ni kweli habari za kukwepa bibi kizee zimezagaa sana lakini haonekana huyo bibi kizee na hapakuwa na watu wa kuthibitsha hilo miongoni mwa abiria kutokana na hali ya taharuki iliyokuwepo hapo. Kwahiyo ni vigumu kuithibitisha habari ya bibi kizee.
Ni kiasi cha km 60 kutokea mji wa singida barabara ya Mwanza-Dar ambapo basi hilo limepata ajali muda mfupi sasahv na tayari maiti 3 zilishatolewa na bado uokozi unaendelea.
Tutaendelea kuwajuza kadri tutakapojaliwa kuyajua yaliopo eneo la ajali.
Taarifa za mwanzo zinaonyesha chanzo cha...
Polisi wa Tanzania si usalama wa raia kabisa ila ni maadui wa wananchi live. Polisi ni polisi tu kuanzia wa ngazi ya chini hadi wa ngazi ya juu lao moja. Huyo RPC aliyeahidi kufuatilia swala hilo subirini muone kama atawawajibisha polisi wenzake!!! Hakuna chochote kitakachofanyika. Sijui jeshi...
Ok fanya Bakwata ndio iwe mwakilishi wa taasisi na madhehebu haya,uwakilishi wake unafaa? Nasena hivi kwa sababu haichukui rai au maoni au mapendekezo ya taasisi zingine ili kuleta uwakilishi mzuri badala yake itakalo taka Bakwata ndio liwe la taasisi zote. Je huo sio udikteta?
Au ktk kumbukumbu zenu mlishawahi kusikia wakatoliki wanaiomba serikali kuwazuia wasabato wasisali jumamosi? Au huu ni upungufu tu wa elimu walionao masheikh
Mimi ni mwislamu.Nimeyasema haya kwa sababu mara kwa mara inatokea migongano katika maswala mbali mbali ikiwema maswala ya kufunga kufungua ramadhani,kuswali idd na mambo mengine kama haya.Miaka ya nyuma kidogo bakwata ilishawahii kuutangzia umma hawa wanaofunga kabla ya wenzao si waislam na hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.