Habari wanajamvi. Nahitaji kukodi Friza, Juisi dispensa na jiko la kuchomea nyama kwa siku moja tu ya tarehe 12/12/2020. Nipo Dar na nitavihitaji kwa ajili ya shughuli Dar.
Tafadhali mwenye navyo tuwasiliane DM.
Shukrani
Bei ya vitunguu swaumu-Kariakoo
Habari zenu Wakuu.
Nahitaji msaada wenu juu ya bei ya sasa ya kulangulisha vitunguu swaumu sokoni Kariakoo kwa kilo moja.
Au kama kuna mdau ana namba ya simu ya dalali wa vitunguu Kariakoo, tafadhali anipatie. Mimi nipo Iringa na nina vitunguu swaumu...
Habari zenu wanajamvi.
Nahitaji msaada kwa yeyote anaye fahamu bei ya Kulangulisha vitunguu swaumu katika soko la Kariakoo-Dar.
Nipo Iringa nina vitunguu swaumu nataka kupeleka Dar.
Kama kuna mtu anahitaji tafadhali tuwasiliane. Au kama kuna mtu ana namba ya madalali wa Kariakoo, tafadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.