Mike pompeo ni intelligency officer kwa carrier yake yote na msomi kutokea havard university kabla ya kuwa politician tembelea CV yake naye so MTU Wa mchezo na alikuwa anatumika kukusanya taarifa za kijasusi nchi nyingi sana na ndio maana alipoteuliwa director Wa CIA hakupingwa hata na democrat...
Jaman kama umesoma shule 2010 uku ndio utasema ivyo ila vyeti vilikua vinatolewa mpaka wa dv 0 ndalichako ndio alikuja kutengua iyo issue ikawa mtu anayepata cheti mwisho dv 4 ya 28 tatizo wabongo kukurupuka unachokijua muwe mnafanya tafiti gwajima yupo sahihi na makonda hawezi jibu maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.