hizo ni story za vijiweni huku mkipata kahawa huko ligula CDM haina uchafu huo na hata ukijitokeza watasafishwa mchana kweupee! CDM haina mtu maarufu hata siku moja !ukivuruga unavurugwa pia!
hakuna jambo lolote lisilo na changamoto! kikubwa ni kusolve kwani ukitofautiana na mkeo ndo uhame nyumba? tunahama nyumba au kuacha kwa wenye sifa za kufanya hivyo pindi mambo yakishindikana kabisa kama jinsi tulivyoshindwa kwenda sambamba na ccm!
kwamba moyo unakuuma sana kwa yasiyo kuhusu au ndo moyo na fikra zako zinakutuma upiganie kisicho kuhusu?pole sana ndg endelea kubeba maji kwenye chujio la chai!
msilalamike bila kujua utaratibu wa UKAWA,kuna vigezo vingi sana kama matokeo ya uchaguzi uliopita,uchaguzi wa serikali za mitaa,umaarufu wa mti kwa hiyo haiwezekani mgombea toka UKAWA akawekwa kienyeji tu!vuteni subira mtaona tu muda sio mrefu!UKAWA THE EXPLOSIVES!msihofu
akili zako zinakutuma kuwa upinzani uwe wa walalamikaji tuu miaka nenda rudi waishie kupiga kelele huku mukiwadharau !leo chama tawala kinabomoka munasema hamna upinzani! huo ni wivu tuu suburia chama chako kiwe pinzani ndipo ufurahie upinzani wao !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.