Isingekuwepo kabisa ungesema nin?.jaribu kuwa na shukrani kwa kile kidogo unachopata by the way anatumia muda wake mwingi kwa ajili ya wengi.sasa wewe ukiona huridhiki usiipakue[emoji41]
Hata Mimi nataka kupata elimu Juu ya kupunguza mashina katika mche mmoja.kwani unakuta mche mmoja unatoa mashina 4 au 5 hakafu matunda mpaka 8 je hakuna athari ktk ukuaji?
Jamani bado hatujapata ufafanuzi mzuri wa kilimo cha mihogo.hatujajua kwa heka Moja unaweza kupanda kwa kiasi gani na mavuno yake yanakuaje.anayejua basi atusaidie ili tuanze maandalizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.