Wakizungumza leo asubuhi, Wafanyabiashara wachache waliokutwa katika maeneo yao ya biashara, bila kufungua maduka ama vitalu (vibanza) vyao ndani ya soko kuu la Zanzibar, Marikiti, wafanyabiashara hao walisema kuwepo kwa idadi kubwa ya wanajeshi na askari polisi, kunafanya washindwe kupata pesa...
Askari zaidi ya 20, wakiwa ndani ya magari yao asubuhi ya leo wanafyatua mabomu ya machozi kwa kila kundi la watu wanalokutana nalo.
Katika eneo la Darajani, askari hao bila kuwepo kwa viashiria vya uvunnjifu wa amani, wamefyatua mabomu ya machozi kwa kundi dogo la watu waliokuwa pembezoni mwa...
https://imevuja.xyz/just-in-upigaji-kura-waanza-usiku-huu-zanzibar/
Na pia
https://imevuja.xyz/maalim-seif-kuwekwa-chini-ya-uangalizi-maalum/
Kama ni za kweli, basi Zanzibar pameshakuwa pagumu sasa
UPDATE...
kielezwe basi kilichozungumzwa japo kwa ufupi sie tuliopo mbali na nyumbani hatuwezi kujua kitu gani kimezungumzwa sio kila mtu anasema upinzani umeongea mambo ya msingi tu ni mambo gani basi
Ni kweli sote ni wa Muumba na sote marejeo yetu ni kwake, Maulid Hamad ametutoka na ameshakwenda mbele ya haki kilichobaki ni kumuombea dua kwani alikuwa amelazwa hospitali tokea mwezi uliopita akisumbuliwa na kifua kikuu lakini tutakumbuka kwamba Maulid alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya moyo...
Kwanza naungana na wenzangu wengi kwamba sio wanawake wote ni wauaji kwa sababu hakuna takwimu hizo hata katika hali ya kawaida tu huwezi kuchukua makosa ya watu 10 ukasema ni watu 1,000 wametenda hivyo, lakini jengine sio rahisi makosa kama hayo ya mwanamke akawa peke yake lazima kuna mwanamme...
kwa utaratibu tulionao haiwezi kupita maana CCM ni wengi na upitaji unategemea kukubali na kukataa kwa hivyo wengi ndio wanashinda kikawaida unless kuwe na otherwise ambayo sio rahisi kuwepo
Asalamu Alaykum mimi nataka hayo mafunzo lakini naona hakuna details zinazoeleza suala hilo naomba kufahamu kwa sababu nahitaji kujua yatachukua muda gani kwa sasa kuanzia mwezi wa agosti sitaweza kujiunga ikiwa kabla au baada basi nipo tayari ila mimi nipo zanzibar, hata hivyo natanguliza...
wazanzibari wamesema no maana haujazingatia makubaliano ya muungano lakini kwa habari zaidi kwa waliochangia na maneno wlaiosema fungua hapa www.zanzibaryetu.wordpress.com
Babu wa Loliondo ameoteshwa na Mungu kutoa tiba kama vile maaskofu walivyosema wakati wa uchaguzi kuwa Kikwete ndio chaguo la Mungu na watu wakaamini na kumchagua lakini baadae mambo yakabadilika zile changwe za kuwa chaguo la Mungu zikageuka chaguo la Shetani sasa kwa babu sijui mambo...
Sote ni wa Mwenyeenzi Mungu na marejeo yetu sote ni kwake kwa hivyo hatuna budi kuwaombea kheri na wapumzike salama huko waendako na wale wlaiobahatika kupona basi tunawapo mkono wa pole na wapone haraka
Asalamau alaykum.
Habari za siku nyingi naona maneno mengi yanasemwa kuhusiana na suala la karume kuongezewa muda kila mmoja anasema vyake mimi nadhani watu kama wamemsikia katika hutuba yake ambayo imerushwa live na baadhi ya vyombo vya habari vya televisheni na radio na mimi binafsi...
Hii story nimeipenda sana ila nadhani kuna kitu kimesahaulika kidogo katika mapenzi hakuna mmoja kuwa juu na mwengine kuwa chini yaani hata kama mtu mbumbumbu kiasi gani wewe huwezi kumuona hivyo kwa kuwa wakati mwengine mtu aliyekuwa hajasoma anaweza akakupa muongozo wewe mwenye elimu...
Mimi nadhani kujadili kitu sio mbaya muhimu kimeletwa na kujadiliwa ni vizuri na issue ya kusema kwamba imeshawahi kujadiliwa hiyo ndani sio sahihi kwani inawezekana hapo alipozushia mara ya kwanza ilikuwa hajawa tayari kuingia huko na sasa pengine mipango yake imekaa sawa, kwani mbona kuna...
Cha muhimu sana katika hili ni kuwapa moyo kama wenyewe walivyosema wamepigana vya kutosha, wametengana vya kutosha, wameumizana vya kutosha sasa wameamua kusema basi na iwe basi sisi ni kuwaombea Mungu hapo walipofika waendelee zaidi kuwa wamoja na kuinusuru nchi.
suala la watu waliouawa...
Asalamu alaykum.
bwana game theory sikubaliani na wewe kwamba wote hawautaki muungano na hilo ndio tatizo kubwa la watu wa bara wanadhani kwamba wazanzibari wote hawautaki muungano na hilo linafikiriwi la upande wa zanzibar mjue kuwa hata upande wa bara hawautaki muungano na nakumbuka siku ya...
Asalamu alaykum.
Swali hilo wanajiuliza wengi why leo na isiwe tokea miaka hiyo ya nyuma ambapo takriban miaka minne CUF wametoa msimamo wa kutomtambua Rais Karume lakini kama walivyosema wenyewe CUF kwamba wametafuta nafasi hiyo kwa miaka mingi ili wapate fursa ya kuzungumza na Rais lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.