Pona pona ya hili taifa ni pale tu wananchi watakapo tambua CCM ni adui wa hii nchi anaye takiwa kupingwa kwa nguvu zote.
Lasivyo tusilaumu maana ujinga wetu na njaa zetu ndio nguzo yao kuu ya kuendelea kubaki hapo walipo sasa.
Polisi ni vibaka kuliko vibaka wanao kesha wanakimbizana nao mitaani...
Polisi ni genge la uhalifu lililopo kwa mujibu wa sheria.
Polisi ni wahalifu nadhifu wenye uniform na mpangilio unao eleweka.
All in all KAZI YA UPOLISI NI LAANA!
Tamaa ya maisha ya kuigiza kwenye mitandao ya kijamii...
Wasanii wengi wa kibongo ni wahanga wa hii mambo.
Hua nawaangalia wanavyotamba huko IG wanakula bata Dubai kumbe nyuma ya pazia wanaume wamegeuzwa wanawake na maulamaa wa Dubai, wanawake nao wanalalwa mpaka na ngamia.
Worse enough...
Binafsi naunga mkono maamuzi ya Putin, USA na wenzake wa NATO wanatishia usalama wa Russia.Linapo kuja suala la usalama wa nchi hakuna mjadala. Ikiwezekana Putin aandae ICBM zake ikitokea wameingilia atume hizo kitu kwa USA na washirika wake. USA hajaadhibiwa kwa muda sasa baada ya kufanya...
nadhani kwasababu sirini yupo affiliated na chama fulani cha siasa ambacho kimeshika dola na yeye kulinda maslahi ya chama chake ni kutoa kauli kama Hizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.