Mwezi wa pili mpz wangu aliniambia mimba imetoka ikiwa na wiki 5 na kwa mujibu wa ilo swala alisema eti amekunywa dawa cz alikuwa anaumwa tumbo,sasa alienda hospita akasafishwa na kipindi hizo mie nlikuwa safarini.Tatzo c mimba kutoka au ameamua kutoa mwenywe thn ajifanye imetoka ila toka siku...
'Wakati huohuo, JWTZ limesema baadhi ya vijana walioajiriwa bila kupitia mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ndiyo wanaolichafua jeshi hilo kwa kushiriki vitendo vya mauaji ya raia na kufanya uhalifu.
Kanali Mgawe alisema askari wa JWTZ wanaojihusisha na vitendo hivyo ni vijana ambao...
Wadau tukipata katiba mbovu yenye mabadiliko kidogo basi UJUE viongozi wetu wa KATA ndo chazo kikubwa,yote kupeana nafasi kwa kujua c mtu mwenyewe sifa ya kuwakilisha wananchi wa eneo la wajumbe hao.
Mchakato wa kura za wananchi ni vituko alafu mbaya zaidi kuwateua watu hao eti wajumbe ndo...
Juzi j.3 kulikuwa na usaili wa vijana wanaotaka kujiunga na JKT mkoani dar,huku mikoani bado ndo tunawasubiria wanakuja wiki ijayo. Sasa nataka kujua ww mdau ulikuwepo katika usaili huo kuna ishu gani ili nasi tujipange mapema.NAWASILISHA
Mimi nimebahatika kufanya kazi ya sensa hapa jijini Dar japo nililoshuhudia Makarani wengi wamepachikwa na wametumia majina c yao cz wamefoji Elimu hivyo wengi hawawezi kazi na wengine wamekimbia sasa cjui uzembe wa NANI. Jambo baya zaidi jana liambiwa leo kuna watu wanaenda kufanya interview ya...
mimi ni mmoja wapo kati ya niliyopata kazi ya sensa tumeambiwa tutalipewa elfu35 kwa siku na 250000 kazi ya sensa pamoja na nauli elfu35 kwa wenye dodoso ndefu kwa fupi cjajua.
NAWASILISHA WADAU pia nashukuru sana kwakuwa nlijua hyo kazi humu pamoja na ikupata le form yao ya kujaza
Habari wana JF mi nipo njiani nimekuta ajali ya magari mawili yamegongana katkat ya tanga na kilimanjaro na watu 5 wamefariki NA tukio lingine ABIRIA moja mwanamke amefarki kwnye gari akitokea pande za Arusha au moshi kwenye gari kampuni la Dar express maeneo ya Usagara
Nilisoma kwenye magazeti vichwa vya Habari vikisema KUANZIA KESHO MGAO WA UMEME BASI,kipindi cha nyuma waziri mkuu akasema umeme utakuwa historia kukatika KUMBE maana ya basi na historia yaani kuwa na umeme masaa 24 ni ndoto eti mitambo miwili wamewasha wakati mgao bado upo vile vile tena...
Nimeamini mwanamke c wa kumuamini na c wote ILA wengi wao cjui wana fikiria kitu gani,Mfano jana kuna demu ameletwa na rafiki yake ambaye ni shem wangu basi tukapiga story sana yule demu akaonyesha dalili ya kunipenda kama unavyojua wanaume nikamuonyesha NAMI nimekufa nimeonza KUMBUKA ndo...
Kwa habari nlizopata usiku huu kutoka kwa mwanafunzi.Chuo Mlimani kitakuwa na Maandamano kama Egypt kuimiza serikali iwaongee mkopo kwa ajili ya matumizi
Nimeamini ukiwa na nyota ya punda shukrani ni MATEKE yapta wki mbili toka niachae na mpz wngu baada ya kuona dalili za kunichoka na nlipomweleza mambo yake aliniambia kuwa ana HISI ya kimapenzi na mm cku nyingi na hana sabbu imetokea tu ila bado ananipnda.Je nifanyeje wana JF na mi nampnda na...
Wana JF mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa pili tatizo langu mapenzi yananiumiza sana kwanza nlikuwa na mpz toka secondary tulipo karibia kuja chuo akanisaliti na sasa nipo nae clac moja japo hatongei kwakuwa anaishi na mwanaume nae tupo clac moja.Sa mwenzi wa 4 nlipata mpenzi mwingne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.