We jamaa ukikosa la kuongea uwe unatulia sio kuropoka!! Aliekuambia wanaobet wanaliwa sana ni nan??dunia nzma watu wanabet it means inafaiada kwao wangekuwa hawapati faida wangeacha!! Binafsi sitaacha kubeti mpaka waache wao!! Kila wiki napata faida ya laki moja!!
Yan bora hata wangeweka tangazo kwamba nyumba inabomoka lakini kwa tabu!! Kwa sababu mimi siwez kununua cement yao kwa kuwa napenda kurekebisha nyumba yangu na kubadilisha raman mara kwa mara!! Asa kama haibomoki wamenikosa kwa kweli!!
serikali iliangalie vizur ili suala la wananchi kumpiga kila raia anaeitiwa kuwa ni mwizi na mtu fulan bila kujua ukwel wa jambo hlo uko vipi, wananch wamekuwa wakichukua jukumu la kuwaua watu hawa!! Nafikiri police imewekwa kwa ajiri ya kuleta usalama wa raia na mali zake!! Hvo wananch...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.