Achana!! na dogo aisee wacha afanye kazi mwacheni wivu hakuna msichojua kuhusu huyo dogo kuanzia elimu yake na mafanikio yake sasa zaidi unataka usaidiwe nini?
Hujatoka wewe lakni mwenzio anatoa kama kawa hawezi kukoswa ubunifu kwa sababu yako, kisichokutoa hapo ni ufundi wa mama sio vingine..tunasema maji kila kilefu inaitaji uzoefu[emoji16][emoji16]
Nafkri litachukuliwa kivingine...lakni fatilia uzi huu wapo watu watakupa ushauri mzuri na utajifunza kitu. binafsi 5% itatosha nayo itategemea na namna mlivyopeana kazi.
Unataka kujua iliiweje?? Uo utoto ukikua utaacha..we baba yako kauliza wapi kuju wake au sio sioni sababu yoyote lqbda kama matymizi yamekulemea au mama anarukaruka.
Vuta bangi mwanagu utakuja kunishukru siku moja[emoji23]
Kubwa zaidi umaskini unagonga odi kwenye maisha yako..
Hiyo ni dalili moja wapo[emoji122]..
Soma vitabu vya uchumi na mafanikio ya watu..
Usipende kujikatia tamaa hakuna lolote gumu Duniani isipokuwa kifo.
Nakujibu kwa kwa namna hiyohiyo ya falsafa yako,fanya reseach zaidi isitumie ubabe wa kusoma kitabu kimoja au viwili ukajiona mwamba Neno maskini au tajiri vinatafsiliwa vibaya kwenye jamii yetu..unaweza kuwa na utajiri wa kipumbavu au masikini mjinga haya maneno unatakiwa kuyafanyia kazi na...
Ubinafisi mwingi sana kwa raia wa..( ) na hii ni kutoka juu kweda chini kutoka chini kwenda juu ..ndoano imepata mboga[emoji23]
Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.