Njoo na ushaidi wa utajiri wa Lowasa hapa sio ngonjera na majungu. Nyie ndio mnatakiwa kupimwa akili zenu kama zipo sawasawa. Unakaa na kufikiria uandike uongo gani uupeleke JF hii ni hatari sana.
Inchi hii shida tupu! Wagonjwa wa akili wana zidi kuongezeka.... Bangi mbaya sana hii inanikumbusha jamaaa mmoja baada ya kukoleza bangi akawasha taa ya mafuta mchana jua linawaka akaanza kusema washikaji! washikaji ! washikaji mbona mnatembea bila taa wakati usiku wagiza nene hivi?
Tulikuwa tunaomba usiku kucha Mbowe arudi ulingoni naimekuwa inatosha kumshukuru mungu kwa hilo..... Wenye chama chetu tunajua kwa nini tunamtaka Mbowe
CCM always track CDM for what? I don't know! When CDM plant a seed CCM try to kill them before they grow like what they did to ZZK, but now they are introuble for Freeman Mbowe comming back to the bettle field....
Haya matamanio ya CHADEMA kufa yatabaki hivyo tu, Ulizeni ile nyara yataifa iliyo kimbia hifadhi ya wanyama pori kule Gombe ilisema hivi CHADEMA Mwisho 2013.
Wana board nimekuwa nikifuatilia maandiko na kauli za daktari huyu wa filosofi tangu akiwa CDM na Baada ya kufukuzwa na chama chake kwa kushiriki uasi ulio buniwa na zitto Kabwe, Nidhari maandishi yake na kauli zake hazijawahi kunishawishi na kuona kwamba fikra hizo zinatoka kwa msomi wa karne...
Matamanio ya wanasiasa siku zote nivigumu kuya pinga na amini kabisa ccm na wa fuasi wao wamechanganyikiwa hawajitambui kama kweli wanajitambua basi wange fanya kazi ya kutimiza ahadi na sera yao ya uchaguzi badala ya ku fikilia kuwa chadema ina kufa. Na wahakikishia hamuwezi kuua mageuzi ya...
Haya maisha bora kwa kila Mtanzania mbona siya pati namimi mbona ni Mtanzania au ninakosea nini au natakiwa kuwa na kadi ya chama cha Mapinduzi? Mbona sielewi kila sikubheri ya jana.
Naomba msaada wa mawazo nifanyeje ili leo iwe bora kuliko jana,nimeamua kuhama mjini nikajaribu maisha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.