ni hapo kwenu lakini wengi hawampendi,tena hapa kwetu tokea kampeni,wanasema atawapelekesha sana,Watanzania hawapendi kufanya kazi aise,inaniuma sana ,watu wanataka wakae tu ,kisha wabebe mshahara na kula rushwa,kama hatutabadilika kila mmoja, kamwe Tanzania itabaki hapahapa hata aje Malaika...
Kwa kweli mimi nilimjua alipmtabilia EL,maarufu kwako kutokana na itikadi zako,na mbona amekosea kutabili,then nikampuuza kwa kuwa alikuwa anafanya kampeni,so ckumtofautisha na Ng...jima..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.