wanasheria mtusaidie. Je mahakama zinauwezo wa kutengua maamuzi ya tume kuhusiana na uchaguzi wa rais au la? Kama ndiyo wanasheria wa chadema wanasubiri nini?kama la mi naona tuwawajibishe waliotunyang'anya ushindi wetu.ili wengine wasijetokea kwenye uchaguzi ujao.
Kuanzisha shina la chadema ni bora zaidi kwani kuna advantage nyingi kwa mfano tutazitekeleza kwa vitendo falsafa ya kupambana na upotevu mali za wanafunzi(shule) km majembe, slasher,ndoo nk
Kuanzisha shina la chadema ni bora zaidi kwani kuna advantage nyingi kwa mfano tutazitekeleza kwa vitendo falsafa ya kupambana na upotevu mali za wanafunzi(shule) km majembe, slasher,ndoo nk
wanajamvi mi ni tcha wa sec ninaprogram ya uanzishaji mashina ya chadema ktk kila shule za sec ktk hii wilaya yangu ili kusongesha ukuaji wa chama.je kuna sheria itakayonibana?kama ipo nipeni na reference kama haipo niungeni mkono kwa kuanzisha mashina hayo ktk shule za wilaya zenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.