Mkuu kisheria kama umepata hasara kutokana na mtu mwingine kugushi unaweza kumfungulia kesi ya madai. Ikumbukwe kuwa kesi ya madai inaweza kuendeshwa japo kuwa kulikuwa na kesi ya jinai.
Jina lake halisi ni Seth Ketende alisoma Tumaini University-Iringa Bachelor of Business Administration 2005-2008. Kuna wakati alikuwa anaimba nyimbo za injili akaacha na kuanza ulevi kiasi. Ni kweli Seth amefanya makampuni mengi tu na kuacha kazi/kufukuzwa baadae akaamua kujiajiri. Sasa kuhusu...
Kutenda tendo la ndoa? Kama shauri lipo mahakamani usubiri uamuzi Wa talaka. Sheria haimlazimishi kukupa unyumba. Ingawa kutopewa unyumba yaweza kuwa sababu ya talaka.
Mkuu kulingana na Sheria za Tanzania ndoa inapaswa kuwa Kwa madhumuni ya kudumu sio Kwa muda. Pia ni kati ya mwanamke na mwanaume. Pia mwanamme na mwanamke wanapaswa kuwa walizaliwa na jinsia zao hizo sio kwa kubadili jinsia.
Mkuu Polisi cheti cha ndoa ni ushahidi kuwa mmeoana. Hivyo Kila mwanandoa anapaswa kuwa na nakala yake. Pia cheti cha ndoa kinatolewa na Serikali siyo kanisa. Mfungisha ndoa awe Mchungaji au padri (Kwa wakristo) anapewa leseni na serikali ikionyesha ana mamlaka ya kufungisha ndoa. Na akitoa...
Mkuu Sheria ya Ndoa, 1971 imetambua ndoa zinazofungwa kulingana na imani za wafungaji. Mfano ndoa ya kikristo yapaswa kua kuwa ya mke mmoja. Hapa tumekumbushana wajibu Wa mwanandoa na ukisoma wajibu utajua kuwa mwanandoa akiufuata atakuwa anailinda sakramenti hiyo (Kwa wakristo).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.