Kama kuna aliyetuloga nchi hii basi tumtafute tufanye tambiko laana na uchawi utuepuke, nimefika stendi ya mabasi nyamhongolo nadiriki kusema tumelaaniwa yaani mazingira ya nje kuanzia barabarani hovyo kabisa.
Hivi nawauliza mliwaza nini kuacha mazingira yanakuwa ya hovyo kiasi hiki?
Natumaini wote mu bukheri wa afya vijana kwa wazee wenzangu
Naja tena na ushuda wa niliyoyapitia kwenye upangaji
Mwaka 1984 mitaa ya uhuru mwanza nikapata nyumba ya kupanga kwa mzee x na mkewe.
Nami nikiwa na mama watoto classmate wangu na watoto wetu wawili nikiwa nafanya kazi ma mzee mmoja...
Kwenu shirika la nyumba la taifa sasa ni wakati wa kwenda na wakati vijumba vyenu pale katikati ya jiji la Mwamza jamani vinatia aibu Dunia ya leo vinaonekana kama vibanda tu.
Ni muda Sasa tulete wawekezaji hivyo vibanda tuvipige nyundo yasimamishwe maghorofa kama ya NSSF jiji lipendeze yangu...
Natumai wote ni wazima wazee kwa vijana poleni na mvua za masika zinazoharibu miundombinu yetu. Moja kwa moja nianze kwa kusema kama dereva wa masafa marefu niliyetundika daruga 2010.
Uliza Congo uliza Malawi Zambia Uganda kenya Burundi rwanda hapo nikiwa na chuma cha msweden scania 113 pulling...
Natumaini mu bukheri wa afya vijana kwa wazee wenzangu
Msinichoshe nisiwachoshe moja kwa moja
Kwenye maada kujadili hizi kazi ambazo mimi naziona kama zina laana fulani hivi
1.wavuvi
2.wachoma mkaa
3.wachana mbao
4.wachimba madini
huwezi kukuta wafanyakazi wa hizo kazi katoboa maisha
Naandika kwa masikitiko sana
Nikiangalia vijana wanavyoteketea kwa pombe, ugoro, bangi, sigara
Mpaka napata kichefuchefu
Unakutana na kijana miaka 19 mpaka 30 hawajulikani
Ni vijana au wazee nadiriki kuwaita ni watu kati si wazee si vijana yaani wapo wapo tu sura zimepauka nguvu walizobakiza ni...
Natumai hamjambo nyote
Kama Kuna kitu nakichukia hapa duniani
1:uchafu
2:uchafu
Jamani kiufupi uchafu Ni tabia na si Kama inavyodhaniwa kuwa uchafu Ni kwa wale watu wa Hali ya chini tu
Ila ukweli Ni kuwa uchafu Ni tabia
Haijalishi una maisha gani
Jiulize unafika hospital kuanzia...
Natumai wote my wazima.
Poleni na majukumu ya kusaka ngohora.
Moja kwa moja niende kwenye hoja.
Kwa muda mrefu madereva tulip wengi pia wamiliki wa vyombo vya usafiri magari pikipiki Bajaj.
Tumekuwa na lawama Sana kwa vyombo vya Dola haswa Traffik na polisi.
Kwa unyanyasaji wao kwa sisi madereva...
Mabibi na mabwana wazee kwa vijana
Swali ya yote napenda kusema tu
Jpm uliharibu sura ya miji na majiji yetu kwa kigezo Cha wanyonge
Leo hii miji imekuwa Kama masoko au mashamba machinga mama ntilie wametapakaaa barabarani bila mpangilio taswira ya jiji miji haipo Tena
Mama Samia ondoa hawa...
Hajambo wanajamvi ?
Naomba Leo tuchangie ushuhuda wa haya Mambo
Kwa miongo Kama sita hivi nimeshuhidia wanawake kina dada kina mama wakikamatwa wameiba Ila sijawahi kushuhudia wakipewa kichapo na wananchi
Kama ilivyo kwetu vidume ukidakwa wafaaa
Je Nani amewahi kushuhudia mwanamama dada...
Wanaume tumeumbiwa shida na si raha na ndiyo maana maisha yetu ni kupambana na shida ili kupata raha.
Hebu jiulize mwanaume umefiwa au umeumia kweli ukianza tu kutoa chozi utasikia kaka jikaze wewe ni mwanaume usilie unajikaza tu mpaka nyongo inavilia rohoni.
Unajaza maumivu mia kidogo Ila...
Habari wazeee kwa vijana?
Leo nimekaa nikatafakari Sana bila majibu
Hivi mwanaume kabisa umekamilika
Unampigaje mwanamke mpaka unamjeruhi mangeo wengine mpaka kuua
Huwa mnaanzaje?
Hebu jiulize Eva alisababisha Adam akafukuzwa pale Edeni
Ila mwanaume hakumaind Wala Nini akabeba mke wake...
Wataalam wa mambo ya bima naomba mje hapa mtupe elimu kuhusu bima
Nataka niende vijijini nikasaidie watu kama 20 iwe kama sadaka yangu
Naomba mtiririke hapa mnipe mchanganuo wote
Awali ya yote nipende kuwasalimu
Nyote kwa jina la yule aliye juu awajalie afya njema
Lengo la kuanzisha uzi huu Ni kutafakari akili za hawa watu
Mtu mrefu sana kupita kiasi
Mfupi kupita kiasi
Mnene kupita kiasi
Mwembamba kupita kiasi
Msomi sana
Asiyesoma hata kidogo
Mweusi sana
Mweupe sana...
Niko hapa kwa suala moja tu kuelezana mambo ambayo si ya kiungwana Miongoni mwetu
Naanza na hawa wenye vyeo serikalini
Mmekuwa mkilalamikiwa sana na hili kundi la wafanya biashara wauza mkaa wenye maduka wauza nyama wenye bar grocery nyie watu mmekuwa kero sana kwa kukopa tena mnakopa huku...
Poleni na majukumu wapendwa
Tukiendelea kulisukuma gurudumua la Taifa mbele hebu tega macho yako uambatane nami tuangalie dhana nzima ya marehemu kusepa na mali zake
Natumai mtakuwa ni mashahidi wa kweli tumeona kwa miaka mingi mtu ana pesa za kutosha assets za kutosha ila akifa ndiyo basi...
Niseme tu kwa sasa hali ya mazingira ni mbaya sana kila kona pametapakaa mifuko ya plastic si mjini si vijijini kila kona mifuko serikali kupitia wizara ya mazingira hebu liangalieni na hili bila kudhibiti hii mifuko kama wenzetu kenya wameweza hata sisi tutaweza mlithibiti viroba ingawa maumivu...
Kheri wapendwa wakubwa kwa wadogo
Leo ni siku nyingine tena tuutazame mzunguko wa maisha yetu ya kila siku
Nianze kwa kusema tu baadhi yetu tumekuwa na tabia au mazoea ya kufanya mambo kwa kujiona Wajanja kumbe ni kujitafutia mikosi na laana bure unakuta mtu miaka na miaka anafanya biashara...
Natumai wote mu buheri wa afya pole kwa wale wanaosumbuliwa na mara Mungu awafanyie wepesi.
Tukutane madereva tuliowahi kucheza kichapo toka kwa raia na abiria.
Mimi nakumbuka ilikuwa mwaka 1993 nimebeba abiria toka Geita kuja Mwanza gari ikazingua clutch ikabidi tukatafute fundi Sengerema...
Nianze tu kwanza kwa kusema wafiadini huu uzi mpige kimya
Ndugu zangu Waislam huwa napenda sana mfumo wenu wa kushughulikia misiba yaani inapotokea mwenzenu katika imani ametangulia mbele za haki suala la msiba linakuwa la Waislam wote na si familia tena mtakuwa Bega kwa Bega mpaka mwenzenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.