Habari wanajamvi. Kama kichwa cha bandiko langu linavyosomeka. Mimi ni mkulima wa Mpunga bonde la Usangu, nina uhitaji wa dawa ya kusindika magugu iitwayo Rilo R500.
Naomba msaada mwenye kujua wapi naweza kupata dawa hii. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Habari zenu wadau, kama nilivyoainisha hapo katika heading yangu. Naomba msaada wa mtu ambaye ameshafanya au anafanya kazi kama monitoring and evaluation officer. Nina maswali Fulani ambayo ningependa anisaidie. Kwa aliyopo naomba anicheki inbox ili ikiwezekana nimtafute phyisically...
Nikiri tu kwamba nami ni mmoja wa watu ambao naiona dhamira ya dhati ya Mh. Rais wa awamu ya tano katika kulisaidia taifa letu. Kutokana na kauli zake na matendo yake ni wazi Mh. ana kiu ya kuona mabadiliko ya haraka kwa nchi yetu. Mh. anatamani kuona kila mtu anatembea kwenye nyayo zake ili...
Naishi Mbezi Njia ya kwenda Makabe. Nimefunga Azam dish yapata miezi 10 sasa. Bahati mbaya siku ya tatu leo limepoteza chanel zote local isipokuwa Azam sport HD, Star Tv na Tv1. Chanel za nje zinaonekana vyema.
Nimeita fundi amejaribu kucheki juu kwenye dish kupo sawa na akipima frequency zipo...
Wanajamvi, niliomba kazi kupitia website ya hawa jamaa "Liverpool School of Tropical Medicine" (Adm and logistic).
Leo wamenitumia email kunijulisha kwamba nimekuwa shotlisted kwa interview 28/11/2016.
Naomba yeyote aliye na taarifa za hawa jamaa ani-update hapa kwa faida yangu na wanajamvi...
Habari zenu ndugu zangu GT's.
Nimeomba kazi katika shirika Fulani la wamarekani kwa bahati nzuri nimekuwa shortlisted. Pamoja na mambo mengine jamaa wamenipa siku mbili yaani J4 na J5 niwe nimewatumia scanned copy ya International Pschometric Score Certificate toka kwa international...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.