Ipo hivi, baada ya mavuno wakulima wengi wadogo kutokana na mahitaji na wengine madeni huuza mpunga wao ili wapate pesa za kuendesha maisha yao. Hii haimaanishi kwamba nyakati zote huuza kwa hasara. Isipokuwa faida ambayo wanaonunua kwa wakulima wanaipata ni kutokana na wengi wanakuwa na...
Mimi ni mkulima na ninavyoongea mpunga wangu upo Ubaruku ghalani, sasa sijui katika sample yako ya hao wasionufaika na kupanda kwa bei na mimi nimo au lah. Na ata hao wakulima wenye mtaji mdogo hakuna aliyeuza gunia la mpunga chini ya 80,000 mwaka huu wakati mwaka jana gunia kipindi cha mavuno...
Naona watu wengi wanalalamika kuhusu; mipaka ifungwe n.k, jamani gharama za uzalishaji katika sekta ya kilimo imekuwa kubwa sana. Mpaka kilo moja ya mchele inakufikia wewe jua kuna watu wametumia nguvu na gharama kubwa sana. Je mnataka hawa wakulima walime kwa hasara?
Nadhani sensa ya mwaka huu ina maswali mengi sana ambayo sidhani kama yalikuwa na ulazima. Sasa kuna watu watataka kumchallenge karani lengo la maswali kadhaa na karani unakuta ni mweupe unakuta linaanza darasa sasa toka kwa mhesabiwa kwa karani.
Wanasiasa nae wana mchango wao mkubwa kwenye...
Naelewa vizuri hii kitu. Kwa wale waliokodi vyumba vya biashara ni rahisi sana kulipa withholding tax wanappkwenda TRA kufanyiwa makadilio ya kodi zao, lakini kwa mpangaji kuna ugumu. Ni lazima kuweka motisha fulani itakayowasukuma wapangaji kuwa mawakala wa TRA. Sheria zetu nyingi ni rahisi...
Hapa wangesema, ukilipa kodi unakata 10% witholding tax na katika hiyo 10 mpangaji unabaki na 4% kama bonus yako ili angalau tuwe mawakala wa faida.
Yaani mimi niwe wakala wa TRA kukusanya hiyo 10% alafu nalipa nauli yangu kuioeleka TRA. Kwa huduma gani nzuri tunazopata kama wananchi?
Changamoto kubwa, hawa wakubwa wengi na familia zao hawapitii ugumu wa maisha wanaopitia watu wa chini huku. Kwa kweli hali ni mbaya sana. Mh. Rais hawa watu wanakuchonganisha na wananchi. Wengine wanakitaka kiti chako wanaweka mazingira magumu ili wao wakiingia watatue matatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.