Wana JF naombeni msaada kwa hili. Mimi napendelea sana kunywa mix ya valuer na redbull, siku moja rafiki yangu akaniambia kuwa mix hiyo ni noma coz inaathiri sana figo. Mix hy huwa ina nipa mzuka afu kama ndo napiga game aisee huwa naweza nisishuke hata kwa 1 and half hours. SWALI: je kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.