Uvivu wa kuiondoa CCM mandarakani inayoshindwa tafuta masoko ya mazao yanaozea kwa wakulima, inauza madini nje kwa bei chee, inashindwa tagaza vivutio vya utalii, inashidwa kuweka mazingira bora kwa wafanyabiashara, inashindwa kutoa elimu bora kwa watu wake ili waweze kujiajiri, inateka na kuuwa...
Alitakiwa akatae kutumwa kinyume cha taratibu....
Akatae mashinikizo......
Then wakizidisha mashinikizo, alitakiwa ajiuzulu...
Hizo ndiyo sifa za watu wanaostahili hiyo post..
Otherwise awajibike tu.....
Kama hizi post hii au kama hizi zimekufanya kuandika basi nawewe unaweza ukawa karibu nao maana ulitakiwa uwapuuze....
Naomba ueleze mabadiliko ya Taradibu na polepole yanakuwaje...?
Safari hii tutafunga Mstaafu.............
Tena bila kubadili katiba.........
Maana hata yeye ameivunja sana........
Msitutanie kabsaa......
Hakuna ku-balanceana tena......
Hawajashindwa bado, ila si unajuwa ni wavivu....
Walitaka kusiwe na kesi ya kujibu ili wale bata....
Ila sasa itabidi wajitee against hoja za Lissu.............
Sasa inatakiwa kila anayeidai TZ aende kulala Salender Bridge ili tuwahesabu na tuwe na rekodi sawa....
Maana madeni ni mengi yanatuchanganya na tunasahau kulipa........
Ila kwa hili la mkulima alishalipwa pamoja na wale wazee wa East Africa....
Nilimuona alilala pale darajani, na walilipwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.