Nakumbuka wakati Nay wa mitego amekamatwa alitoa ujumbe kupitia account yake ya instagram akieleza kuwa watu waliomkamata walikuwa wamejitambulisha kama maafisa wa polisi, so jamii ilijua fika kuwa yuko mikononi mwa polisi, nafikiria kwa sauti asingefanya hivyo huenda angepotea pia kama saanane...
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.
Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema...
Hello guys,
Jamani michezo ya kombe la dunia ndo kufunguliwa leo, natamani sana kuishuhudia but nahisi ratiba yangu itanifanya nishindwe kushuhudia mechi nyingi sana.
Please kama kuna mtu anaweza kunisaidia ni jinsi gani naweza kufanya ili niweze kuiangalia online kupitia pc..
Pongezi na...
Hi guys..
Naomba kufahamu utaratibu uliowekwa na bodi ya mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo, wana-update vip taarifa zao ili kuendelea kupata mkopo kwa mwaka ujao wa masomo? I remember last year kulikuwa na link kwenye olas ila mwaka huu siioni, wameihamisha au imekuwaje??
Msaada...
Kwanza nikupongeze kwa ushindi wa kishindo ulioupata kwa kukalia kiti cha Uenyekiti wa Bunge la Katiba, hii ni ishara kubwa kuwa si tu wabunge bali watanzania wengi wameweka matazamio makubwa kwako kuwa unao uwezo wa kusimamia mchakatoa wa kuwatimizia haja yao ya muda mrefu wa kupata katiba...
Vipo vitu vichache ambavo sijavipenda katika rasimu ya pili ya katiba mpya lakini kwa zaidi ya 75% iko vizuri, moja kati ya vitu nilivyovipenda ni kwamba kama ikipita basi angalau tunaweza kupata watunga sheria wanaojua angalau ni nini wanachokifanya kwa kuangalia kigezo cha elimu pale inaposema...
Hello friends, naombeni msaada please, pc yangu nahisi imevamiwa na wadudu coz nikiingiza flash tu lazima files za kwenye flash ziwe shortcut, natumia window 8 so kuna window defender na nimejaribu kuupdate na kuscan several times but hakuna mafanikio. Msaada please, nifanyaje!
Jamani ushauri, what is the best wireless microphones ambazo zinaweza kutumika umbali mrefu na bado kumaintain ubora wake? With specifications please...
Binafsi ni msomaji mzuri wa vitabu, kupitia vitabu nimejifunza mengi sana kuhusiana na mitazamo ya waandishi, nimeshawishika kutafuta kitabu chochote kile ambacho kimeandikwa na mpendwa rais wetu (JMK) ili niweze kujua mitazamo yake kuhusiana na mambo mbalimbali yanayoisibu jamii ya watanzania...
Big thanx kwa TCU kwa kutujuza wapi tumedahiliwa, and now macho na masikio yetu yanaelekea heslb ili tujue kama hizo kozi tutazimudu ama la, mwenye taarifa zozote juu ya hawa jamaa lini wanaweka mambo hadharani please atujuze--
Habari wakuu,
Ninaomba kufahamu faida za ubuntu dhidi Windows zetu; nasikia iko more secured na vingine vingi, naomba kupata ukweli juu ya hili kutoka kwenu wanazuoni.
Habari wadau!!
Mwenye kufahamu majina ya movies za ukweli za Comedy ama Action alete majina hapa ili nizishushe tayari kwa kufurahia weekend.
Natanguliza Big Up.
Baada ya waziri wa mambo ya nje wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kuitolea maneno ya dharau na shutuma nchi ya uingereza juu ya sakati la fedha za rejesho la rada, nchi hiyo inajiandaa kujibu mashambulizi kwa kuchukua hatua kadhaa ikiwemo kufunga ofisi zake nchini humo. Kazi kwenu watz!
Kama mtanzania, ninapitia bajeti ya serikali yetu na ninaona ina mapungufu mengi na ya msingi, nashangaa kuona wabunge 81 tu ndio walioweza kuona mapungufu hayo na kuipinga, wabunge 234 wamepitisha mapungufu hayo tena kwa kupiga vigelegele na kuzomea wale walioipinga. Inasikitisha, lakini ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.