Search results

  1. Mzee Dogo

    Leo nimeyakanyaga. Nimevamia hotel isiyo ya kiwango changu

    Sheria muhimu ya kukumbuka kama huna uhakika na kipato chako, usile msosi hotel hujui bei zake, usilale chumba hotel hujui bei yake wala usinywe bar kabla hujajua bei zao.. Unaweza kutwa na fedheha hujawahi dhani itakukuta
  2. Mzee Dogo

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Boss ukiipata niambie nami niagize, nina two years naitafute bila mafanikio
  3. Mzee Dogo

    Nyama ya ulimi yamuondoa mwali kwenye mahusiano

    Kitu cha kwanza mwana anatakiwa aelewe ni kuwa demu hakumpenda toka mwanzo, she just loved what the guy was providing, amwache aende wala asiwaze mambo ya ufundi kitandani wala kumhurumia atakuja kutendwa aumizwe zaidi ya hapo
  4. Mzee Dogo

    Tulikubaliana tuwajengee wazazi, ndugu zangu wameniachia ujenzi peke yangu

    Kaka we endelea tu umalizie, hivi vitu vina baraka utakuja tuambia huko mbeleni, acha tu kunung'unika. Ilinikuta hii kitu kipindi fulani tulikubaliana Ila utekelezaji ulipoanza nikajikuta peke yangu, nilikomaa ikaisha leo wakienda home wana pa kufikia, mi mambo yanaenda fresh kabisa
  5. Mzee Dogo

    Kuna mdada ni mzuri sana, ila najishangaa sana kwanini sivutiwi nae kimapenzi

    Bro trust your instinct; it knows more than what you see. Usijiforce ukajiingiza kwenye matatizo bure..
  6. Mzee Dogo

    Hivi kuna nini kwenye honeymoon?

    Familia za kichovu hakunaga honey moon, ukute harusi umeandaa mwenyewe, asubuhi wazee wanataka kusafirishwa ndugu wa mke uwape mafuta warudi kwao, harusi imeisha kuna deni la mc sijui mpiga picha, aki hio ni kulala nje ya geto tu yaani. Watoto wa kushua ndo wanakuaga na hio kitu
  7. Mzee Dogo

    Binti wa kizigua anataka kunipeleka kwao. Naombeni ushauri wa haraka

    Less than a week unaenda kwao? Karibu Tanga wenzio tukipata nauli tumekula zawadi na tukipata zawadi nauli hakuna..
  8. Mzee Dogo

    Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

    Mzee wangu nadhani kwa maelezo yako hofu yako kubwa ni what if bi mkubwa akijua; hili ndo lakuua ndani kwa ndani pasi kujua. Pole sana aisee Ushauri wangu; 1. Wote tunakosea huku duniani, so nenda kwa bi mkubwa kaombe msamaha na funguka kila kitu itamuuma sana but she will finallyunderstand (...
  9. Mzee Dogo

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Natumia hii kitu for years na haijawahi niangusha popote..
  10. Mzee Dogo

    Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

    Sometimes akivua nguo uwe unamsifia maungo yake; if you don't be sure someone will one day..
  11. Mzee Dogo

    Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

    She just want to know ur taste of food for a day; there is nothing wrong about..
  12. Mzee Dogo

    Nimemfumania mpenzi wangu akiwa na mama yangu mdogo

    Ukisema mkuu wa mkoa alikuwa sahihi kusema wanaume ni ndugu zake shetani unakosea, kwani mama ako alibakwa? Siku nyingine sema mmeo na mama ako mdogo ni ndugu zake shetani; hapo utakuwa sahihi
  13. Mzee Dogo

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Legendary.. Sent from my Nokia 5.1 using JamiiForums mobile app
  14. Mzee Dogo

    Kwa Wapenzi Wote Wa Smartphone: Kwanini Ulinunua Simu Unayotumia Sasa Hivi?

    1. Kukaa na charge 2. Simple 3. RAM yake 4. Inanifaa zaidi kwa site. (Locus, Google earth, n.k) 5. Affordability
  15. Mzee Dogo

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ni kweli kuwa ni mwezi mzima, lakini per day unapewa MB 500 pekee na huwezi kuzidi hapo,
  16. Mzee Dogo

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hamia halotel hutajutia, may be huko mbele wazingue..
  17. Mzee Dogo

    Mimi na MB ndo basi tena, nimepata mkombozi

    Sawa itakuwa line ya chuo I think
Back
Top Bottom