Sheria muhimu ya kukumbuka kama huna uhakika na kipato chako, usile msosi hotel hujui bei zake, usilale chumba hotel hujui bei yake wala usinywe bar kabla hujajua bei zao.. Unaweza kutwa na fedheha hujawahi dhani itakukuta
Kitu cha kwanza mwana anatakiwa aelewe ni kuwa demu hakumpenda toka mwanzo, she just loved what the guy was providing, amwache aende wala asiwaze mambo ya ufundi kitandani wala kumhurumia atakuja kutendwa aumizwe zaidi ya hapo
Kaka we endelea tu umalizie, hivi vitu vina baraka utakuja tuambia huko mbeleni, acha tu kunung'unika.
Ilinikuta hii kitu kipindi fulani tulikubaliana Ila utekelezaji ulipoanza nikajikuta peke yangu, nilikomaa ikaisha leo wakienda home wana pa kufikia, mi mambo yanaenda fresh kabisa
Familia za kichovu hakunaga honey moon, ukute harusi umeandaa mwenyewe, asubuhi wazee wanataka kusafirishwa ndugu wa mke uwape mafuta warudi kwao, harusi imeisha kuna deni la mc sijui mpiga picha, aki hio ni kulala nje ya geto tu yaani.
Watoto wa kushua ndo wanakuaga na hio kitu
Mzee wangu nadhani kwa maelezo yako hofu yako kubwa ni what if bi mkubwa akijua; hili ndo lakuua ndani kwa ndani pasi kujua. Pole sana aisee
Ushauri wangu;
1. Wote tunakosea huku duniani, so nenda kwa bi mkubwa kaombe msamaha na funguka kila kitu itamuuma sana but she will finallyunderstand (...
Ukisema mkuu wa mkoa alikuwa sahihi kusema wanaume ni ndugu zake shetani unakosea, kwani mama ako alibakwa? Siku nyingine sema mmeo na mama ako mdogo ni ndugu zake shetani; hapo utakuwa sahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.