Yani hadi machozi yananitoka tanzania .inapoelekea,ndo maana nchi zingine wanawatanguliza mbele ya haki mapemaaaa viongozi mataputapu kama jk.hv haoni huu uozo? Rais gani hata hagombi jamani au ndo hao mawaziri wake wamempa limbwata? Aibu gani tanzania hii miji giza tupu.jamani huyu mkwere...
Mwenzangu mie nlifanya interview tangu mwezi wa tatu vice president office sa cjui majibu vp.nimefatilia magezeti cjaona kama wametangazo au ndo kimya kimya.nakwambia bongo ajira umshirikishe Mungu wako.
Huyo batilda buriani jamani mi sioni kazi aliyofanya sema kikwete nae too much kiupaumbele kwa madem wengine hata bongo za zimeganda but anawaweka tu cjui walikuwa madem zake zamani ananikera huyo mkwere
Nyie mie mwenzenu mambo ya kutangazwa mawaziri wala hayaniingii akilini sina kazi na degree ya sheria njaa kali nina mawazo heri hao mawaziri watoto wao wana uhakika wa life.by the way hongera kikwete na familia yako
Jamani hivi ndo kawaida ya serika kuchelewa kutoa majibu ya usahili? Mie nlifanya interview tangu mwezi wa tatu hadi leo sijaona majibu kwenye gazeti na nimefatili lakini wapi majibu bado ni ofisi ya makamu wa rais.kama kuna mwenye fununu kuwa yalishatoka anitonye jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.