Nina uhakika wapo wenzetu wenye uzoefu na hii kitu (racism) hasa walioishi ughaibuni more than 10 years watusadie ma-new comer jinsi ya kuwakabili hawa wenzetu maana naona soon uzalendo utanishinda nimtwange ngumi mzungu na kufukuzwa huku wakati sijamaliza kilichonileta.
Naomba mtupe ujuzi huwa...
Aisee ni masikitiko kuona bado watanzania wenzetu wanateseka hivi, huyu mtoto either anaumwa tetekuanga/surua akapakwa jivu kwa kukosa dawa nyingine, or ni utundu wa kitoto kaangukia debe la unga...
I wish I could see her and her family
A George Iron mini documentary, 2012
TRUE SAD STORY
ILIKUWA siku ya furaha kwanza kukutana na familia yako maeneo ya Tabata pili kuisikiliza historia yako na mke wako Wastara ilivyokuwa ya kustaajabisha.
Katika mahojiano Wastara alijizuia asitokwe machozi lakini ilishindikana alilia sana na...
Alieshika namba moja kwa kuchemsha ni kaka yetu Le Mutuz
WILLIAM MALECELA,,SERIOUSLY ITS AN EVENT AND YOU CAME LOOKING LIKE THIS WITH JEANS SHORTS AND ALL,,,,COME ON!!
Sauda Mwilima Duuu
aibu gani hii
KILA SIKU HUWA NASEMA NA NARUDIA TENA,WABONGO TUJIFUNZE KUVAA ACCORDINGLY NA PALE...
KATIBU WA NEC,ITIKADI NA UENEZI CCM NAPE NNAUYE AKIWA SAMBAMBA NA UJUMBE WA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CHAMA CHA KIKOMONISTI CHA CHINA CPC LIU YUNSHAN AMBAYE PIA NI MKUU WA IDARA YA UENEZI YA CHAMA HICHO KATIKA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWENYE ENEO LA MAKABURI YA WATAALAMU WA KICHINA,ENEO LA...
Arusha "was expecting" to host Ghadafi's case kama jamaa asingeuliwa.
Bahati mbaya waasi wamemtoa roho hivyo kulikosesha jiji hili mapato ambayo yangetokana na kesi hii......
For more infos visit Arusha times. Untitled Document.
Kweli kufa kufaana, yaani jamaa washampigia mwenzao na...
Wataalam heshima mbele.
Tangu wiki iliyopita nikiwasha laptop yangu, wakati wa ku upload inatokea blue screen of death na maandishi yafuatayo:
"The application has failed to start because winsrv was not found. Re-installing the application may fix problem".
Sijui nianzie wapi na niishie wapi...
Number of Americans in poverty hits record high
The number of Americans living in poverty rose to 46.2 million last year, nearly one in six people, according to the US Census Bureau's annual report.
The 2010 data shows the poverty rate at 15.1%, from 14.3% in 2009. The number of Americans...
Hii zawadi baadae itageuka mzigo manake repairing and maintaining Jeep Patroit sio kazi ndogo. Acha mbali gharama ya mafuta kwa mwanafunzi wa chuo as most of these young ladies ni wanachuo.
Bora wampe hiyo cash, itamsaida kwenye elimu na maisha ya baadae, sasa li-jeep sijui unalifanyia nini...
Hii nimeikuta kwenye wall page ya mholanzi aishiye Arusha, akielezea furaha ya kuokoa maisha ya mbwa.
"I think it is safe to tell now, we have a new puppy her name is Suffy and she survived the streets of Arusha, she improves, karibu nyumbani"
Huruma hii angefanya kwa mtoto wa mtaani...
Katika kufanya background research ya Famine in Africa particulary in Ethiopia, nikakutana na hii comment ambayo imeshinda kama "the best comment" :
"In Ethiopia іtѕ thе same аѕ οthеr african nations,thе men refuse tο ɡеt up...
The guy is really talented kunako fani ya muziki, anatisha kwa kutoa nyimbo zilizotulia. Pia nampongeza kwa kampeni zake dhidi ya mauaji ya albino chini ya kampuni yake Afrobino Ltd.
Cheki wimbo huu YouTube - ‪ALBINO FULANI FT. PIPI - USIHOFU (www.DarTalk.com)‬‏
Nina mshikaji wangu huu mwaka wa tano anateseka kudai mtoto wake bila mafanikio. Stori ilikuwa hivi:
Yeye kaoana na mmarekani walikutana alipoenda huko kimasomo, bahati mbaya mkewe aligundulika ana matatizo ya uzazi hivyo hataweza kupata nae mtoto. Jamaa anapenda sana kuwa na watoto au walau...
Vituko haviishi nchini Uganda kati ya wapinzani na serikali ya Yoweri Museveni,
Ugandan police have broken up a "mock birthday party" for President Yoweri Museveni held by opposition activists.
They declared the party in the capital, Kampala, illegal and confiscated a birthday cake and the...
Je ni udini ulioletwa na serikali ya JK au ndio kusema paka huyu ni mwizi wa kitoweo kiasi kwamba imebidi asulubiwe msalabani?? Sina jibu ila maswali kibao.
Maskini watoto hawa, tena wapo eneo nyeti linaloingizia hii nchi mamilioni ya shilingi kwa mwaka. Watoto wa umasaini wakiwa darasani. Nini cha kujivunia miaka 50 ya uhuru kama hali bado mbaya hivi? hizo fedha wanazoandalia sherehe ya uhuru ( nimeona vijana wa bongo fleva wanjifua uwanja wa taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.