Umekuripuka men! g il gok, post: 19628898, member: 275553"]Baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kutajwa kuhusika na madawa ya kulevya kuna mambo machache nimejifunza sana kama kijana na kama mpenzi wa Yanga
1. Vita hii ya kupambana na madawa ya kulevya yafaa kupewa sapoti na watu...
OTE="Brigedia Chan-ocha, post: 19084321, member: 213307"]Mkuu Barafu baada ya kuleta ile habari ya kwanza ya Uwanja wa NDEGE WA CHATO niliona nifuatilie sababu za Ujenzi wa huo Uwanja na umuhimu wake...
Findings....
Nimeelezwa kuwa, Rais Magufuli amejenga Uwanja huo CHATO ili aweze kuziteka...
E="Nyani Ngabu, post: 19083338, member: 188"]Ndo maana nimehoji/ nimeuliza kuwa ushahidi uko wapi kuwa Urusi ilifanya hayo wanayodai ilifanya.
Wewe umeuona huo ushahidi? Au maneno tu kwamba Urusi ilidukua mfumo wa uchaguzi wa Marekani kwako yanatosha?
Hakuna aliyeamini tukio la 9/11...
Bad
[E="Kishada04, post: 19081731, member: 380752"]Angalau amefanya kitu japo haitosaidia kitu kwavile serikali inayokuja inamuunga mkono Putin.
BadoBado sana katika uelewa wako!!??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.