Chadema tumpokee tu kama mwanachama wa kawaida. my worry asijekuwa ametumwa ili agombee ubunge Arusha then avuruge utaratibu halafu ccm wachukue jimbo lets be keen on this!
Wana jamvi, mchana huu nimejikuta nasoma gazeti la Mtanzania na nikakumbana na Kichwa cha habari kisemacho: Mwakyembe: Usalama wa Taifa, polisi wataka kuniua.
inasemekana kuna kundi limelipwa kwa ajili ya kumuua Dr. Mwakyembe, Dr. Slaa, Reginald Mengi na wengine. kundi linajumuisha kundi la Al...
Mkimaliza matamko mtatuambia ili turudi kucheck thread zingine, coz kila siku mnalalamika sie tuko makazini mbona hatuuoni huo upendelea? its quiet unfair kutulazimisha tukubali kua tunaonewa. watu wanapewa positions coz they qualify sio kwa sababu ni wakristo. Mnatuchosha, halafu mnapotosha...
guys, mi ni mmoja wa civil servant the former moid, nimefurah sana na uteuz huo coz am sure watu watafanya kazi sana pia tanroads watawajibishwa ipasavyo, coz kuna watu walijisahau wakaona kama tanroads ni yao. So am glad tumepata watendaji wa ukweli aliechukia atakua ni mvivu na asiseme kua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.