Katika kipindi cha Jukwaa kwa wasiokua na jukwaa kinachorushwa hewani na Radio Kheri saa tatu hivi jana walizungumzia kadhia ya kupigwa risasi sheikh Ponda,Pamoja na mambo mengine walizungumzia utata wa Jeraha la Shk Ponda kwa namna lilivyoripotiwa na vyombo vya habari vya Tanzania na vya nje...
huwa napata kichefu chefu kusikia watu wanasema eti Makanisa yalikuwa yakisaidia serikali kabla ya MOU, na eti serikali ndo ikadandia huduma za makanisa , amazing!
Hivi hawa watu wamekwenda kwenye hizi hospitali? wamepewa huduma wakalinganisha na some other normal pure private hospital?
Mimi...
kukua kwa dini kuu 2 za dunia mwaka 1935 hadi 1985
ukristo 78% growth
uislamu 235% growth
ni vita gani ya kidini ilitokea katika miaka hiyo 50 iliyosababisha uislamu kukua kwa kasi namna hiyo?
Leo hii dini inayokuwa zaidi Ulaya Marekani na Asia ni Uislamu, Ni panga ngapi Sultan wa Oman amegawa...
Akhsante, Elimu hii itoshe kwa mtoa mada kama hajali akushukuru na kurudi kufanya TAFITI,ni muandishi mzuri anaweza kuja na bandiko zuri, kwa hili MK umemuathiri bila kujijua
HUUJUI UISLAMU, SEMA WAISLAMU WA TANZANIA NDO WANA TATIZO LA KIUONGOZI LILILOLETWA NA BAKWATA AMBAYO NI ZAO LA MFUMO KRISTO! HAKUNA KIONGOZI WA KISIASA NA KIIMANI MAHIRI ALIYEWAHI KUTOKEA KAMA MTUME MUHAMMAD AMBAYE HATA MKRISTO MICHAEL HART KATIKA KITABU CHAKE , 100 MOST INFLUENTIAL PEOPLE...
Kunabaadhi ya hoja tunakubaliana lakini mengi hatupo pamoja MM,
Mfumo Kristo-haujaandikwa popote lakini upo:
KATAA yafuatayo:
· Kataa kwamba hakuna MOU kati ya serikali na wakristo inayoruhusumabilioni ya fedha kuingia kwenye taasisi za kikristo
· Kwambamatokeo ya Form 6 (2011)ya...
nakusahihisha, HUJUI au sio muislamu, kwa sababu muislamu haogopi kidhaifu namna hiyo
Waliopora na kuchoma makanisani hawawezi kuwa waislamu wenye imani thabiti hilo lisikuogopeshe
Usijeshangaa wahuni waliopora kanisani wanaweza kuwa hata na majina ya John au Marko, nimateja,wezi na wadokozi wa...
naomba Mungu amsaidie huyu mtu kuyatizama mambo katika uhalisia wake, na kalamu aitumie vizuri si amani ya bandia anayoishabikia badala ya kutatua tatizo la jumla na kupata amani ya kudumu
[/COLOR]
hiyo red ndio ya kwanza NA YA MWISHO
Hufahamu maana ya Mfumo Kristo ndo mn unajichanganya, MK umevuruga umoja kwa kuipandikiza BAKWATA isiyotakiwa na kuiua EAMWS ilikuwa inaleta maendeleo, MK unaitambua taasisi 1 tu BAKWATA katika mambo yote yahusuyo waislamu ili kuhakikisha kuwa...
JENGA PICHA KUWA kauli HIZI JK ANGEZITOA AKIWA ROME, COMMENTS NYINGI ZINGEKUWA hivi
well done Kikwete,
at least now i can solute u mkuu,
Kutokea uanze kuongoza leo ndio umenena!
MK in hatari!
Kunabaadhi ya hoja tunakubaliana lakini mengi hatupo pamoja MM,
Mfumo Kristo-haujaandikwa popote lakini upo:
KATAA yafuatayo:
· Kataa kwamba hakuna MOU kati ya serikali na wakristo inayoruhusumabilioni ya fedha kuingia kwenye taasisi za kikristo
· Kwambamatokeo ya Form 6 (2011)ya...
Uislamu ni uncomparable,NOT ONLY with CDM but with all ways of life , seemed unafanya kazi za Mfumo kristo ndani ya chadema. SO ulitaka waislamu wauliwe kama mlivyofanya Mwembechai? ndungu yangu not today! waislamu hawana haja na pengo na kanisa lake, usilete propaganda zenu za kuchoma makanisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.