ISOME MPAKA MWISHO HAKIKA MAPENZI SI MCHEZO Mimi na girlfriend wangu
tulikuwa tunapendana
sana. Tulikuwa
tumeishakuwa pamoja
kwa muda wa miaka
minne hivi, na hivyo tukaamua tuoane.
Ila kulikuwa na jambo
moja dogo lililokuwa
likinisumbua sana, nalo si
linguine bali ni mdogo
wake wa...
ndugu wana janvi naomba tuendeleze mjadala mpana wa elimu maana bila kufanya hivyo tutaruhusu siasa kuua nchi hii, ndiyo maana naweka katika jukwaala siasa ili kupata mtazamo mpana zaidi ya ule wa kitaaluma.
Matokeo ya kidato cha nne yametoka na kufichua kile ambacho kwa uchache kimeonesha...
Ndugu wanajanvi naomba tutafakari kwa kina kuhusu kauli za Dr Kashirila.
Ndani ya siku tatu bunge lilikuja na kauli mbili, awali likitangaza kusudio la kusitisha kurusha matangazo ya shughuli za bunge moja kwa moja(live), Pili likijaribu kubatilisha kauli ya awali.
Sababu za kutoonesha bunge...
Wadau katika pitapita yangu kwenye mitandao nimekutana nasocial network ya kibongo jamaa wame-design platform ya kuchati, kushare photo,job search nk. Kitu kama G+ hivi au facebook. Iko hapa www.mambopoint.com,
My take,
serikali ya magamba inapaswa kusuport creation kama hizobadala ya...
its not a joke though in jokes forum, may be its udaku.
sijawahi amini kama unaweza pata pesa mtandaoni, hebu bofya hapa chini na wewe ujipatie haya maujanja.BOFYA HAPA . walisema kizuri kula na ndugu zako, changamkia ndugu!
Katika pitapita zangu huku mitaa ya mtandaoni nimekutana na site mpya ambao nao wanaweka latest job posts kutoka kwenye magazeti.
pia nimeipenda coz unaweza kujiwekea job alert ukawa unapata notification ya kazi mpya zikiwekwa direct kwenye Email yako based on your professional. Take a look...
waoaji wachache sana cku hiz madamex, na wanavyodai tena kwamba female ni wengi kuliko male, ukiongeza na hawa cameroon(PM wa england) anaotaka kutengeneza plus ugumu wa maisha inafanya kuolewa kuzidi kuwa bahati ya pekee.
Hi there...!
nahitji binti mzuri wa kuzugia, tukiendana anaweza kupata bahati ya kuolewa nami. I cant speak of marriage right now coz I do believe that this wil be the output of what we gonna buld together. To know me better just Pm me
...wahi faster nafasi ni chache (moja)
upatapo taarifa hii...
kama hizo lugha zitatufanya kuwa watanzania basi ni vizuri tuzitumie ILA KAMA ZITATUFANYA TUGAWANYIKE NA KUJIITA CC WACHAGGA NA WAO WAPARE AU WALE WAZIGUA BASI TUOGOPE HILI AZIMIO KAMA EBOLA coz we are no longer going to have the tz we used to have. We have to be very careful c kwa sababu tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.