je, inapatikanaje gas hii?
inafanywaje ili izalishe umeme ?
Nini chanzo chake,ni maeneo yenye asili ya nini inapopatikana ?
Je, inaweza kupatikana Tz.
Natanguliza shukrani.
Enzi hizo .........Muhammad Ali akiwa Madrassa akisoma baada ya 'kusilimu'
"Na tukamfanya mwana wa Mariamu (Yesu) na mama yake kuwa ni ishara, na tukawapa makimbilio kwenda mahali palipo inuka, penye utulivu na chem chem za maji.
''Na kwa yakini huu Umma wenu ni Umma mmoja, na Mimi ni Mola...
Mtoto wa Kenyans drugs baron Ibrahim Akasha, Baktash, akamatwa kwa tuhuma za unga. Maelekezo yametoka kwa police wa dunia (Marekani)
Akasha mkubwa, aliwahi kukamatwa na kiasi kikubwa cha unga hapa Tanzania, alishitakiwa na kufungwa. Baadae inadaiwa alitoroshwa jela ! Kilikuwa kipindi cha Mwinyi...
Fuatilia matangazo ya Clouds Fm, jinsi walivyoamua kutumia umaarufu wa Bi Kidude kumfanyia biashara.
Wanaweka vionjo vya Bi Kidude, kisha wanasema 'made in Tanzania' kwa hisani ya 'Maxi Malipo' !
Sasa ni maombolezo au ni nini ?........inanikumbusha jinsi mwaka jana walivyotumia sauti ya mkuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.