Swali wajemeni, kwa wanaojua,
Huyu jamaa anaishi wapi? nakumbuka ile timbwili lake uchanguzi uliopita ambao Uhuruto walipata asilia 97% baada ya uchanguzi kususiwa na Odinga, baada ya hapo sijamsikia tena.
Je, ni mkimbizi? Kwanini Uhuruto hawakumsamehe kama walivomsamehe Odinga?
Msaada...
General Ulimwengu aliwahi sema kwamba yeye akiuliwa ni wapi Makao makuu ya nchi yalipo kwa sasa jibu lake litakuwa ni Katikati ya Dar na Dodoma.
JITAHIDI UKIMALIZA EDIT/soma upya, kabla ya kuposti. ila ulichokuwa unawaza pia kina mashiko
So story ni zile zile tangia kwa mwendazake "anajisikia vibaya" and yet watu wanamchukulia poa hadi anakufa.
Ukisikia mtu anasema anajisikia vibaya sasa ivi lazima ujiongeze
Mambo yalianza taratibu wao wakaendelea na mapambio ya kumkosoa marehemu na kumsifia biushungi
Hakupandisha mishahara, wakawa kimya
Akasema raisi hakosei, wakawa kimya
Wabunge Covid-19 walikuwapo bungeni akihutubia, wakawa kimya
Now babu kubwa, hakuna katiba mpya na hakuna mikutano. fullstop...
Move calculated, Samia hataki kukutana na wapinzani kawawekea mtego, ili aone heshima zao ziko wapi, wapinzani watarudi sero tena, nawashauri ili pesa wasiitumie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.