Sio hivyo tu wako wengi wanajuta kuzaliwa kwenye linchi linaloongozwa na Mafisiem, wanajuta kumpa kura Nkapa, wanajuta kumpa kura Mkwere, wanajuta kunyamazia Mafisadi kuhonga vibabu vidhaifu, tunajuta hata kwanini chama cha choo kipo mpaka leo, tunajuta mambo mengi tu
Tume ya Uchaguzi kwanza watuthibitishie kwamba wana uwezo wa kuzuia mtu asipige kura mara mbili. Katika zoezi la uandikishaji kuna watu waliojiandikisha mara moja lakini wametokea mara mbili. Na kuna watu wamejiandikisha lakini data zao hazionekani.
Sasa hii hii Tume iliyoelemewa na zoezi la...
Hawa maDokta wa kuungaunga ni wakupuuzwa. Yeye kaona orodha ya Wagombea UKAWA kasoma idadi kakurupuka bila kujua hiyo orodha haina majina ya wagombea wa Unguja na Pemba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.