Mlisema hivyohivyo awamu ya tano majirani zetu walivyounda CoW (Coallition of Walevi)..Endeleeni na hizo wishful thinking zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizoletu tunajua kila kitu..fanya tafiti..chukua watanzania random mtaani, kazini etc..muulize swali kuhusu kitu chochote kuanzia politics, uchumi au maswala ya kijamii (on a local au hata global level). Amini nakwambia, hutapata mtu anakujibu kuwa hayuko conversant na hiyo subject..kila mtu...
Wataalamu mnamshangaa au mnapaswa kujishangaa nyie mnaotoa majibu yasiyo na kichwa wala miguu..mimi siwashangai kwasababu kuna mtu nilisikia alishawai kuweka mkojo wa dume, mkapima mkatoa majibu ana mimba. Plain stupid
Sent using Jamii Forums mobile app
Mletamada hana uhakika kama serikali au vyombo vya usalama havina "tracking system" ya watu wa namna hiyo. Ila kama ni kweli, wanapaswa waufanyie kazi huo ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.