Tafadhali naomba msaada, iphone yangu iliisha charge ikazima.nilipoweka katika charge nikaiwasha ila haikuwaka hadi sasa tokea mchana ilipozima.Nimejaribu kubadili charger,port etc. but in vain,nimetoa line nikarudisha bado haiwaki,nifanye nini? Naomba mnisaidie wataalamu.
Pole sana mama,hakikisha unamweka mtoto vizuri katika ziwa lako, yani sehemu kubwa ya chuchu iingie mdomoni kwa mtoto.
Halafu uwe unamnyonyesha mara kwa mara kama alivyoshauri mwenzetu hapo juu hii itasaidia kuondoa maumivu.
Maumivu yataisha tu usiache kunyonyesha mwanao sababu faida za...
Habari wana jamii,naomba ushauri kuhusu maumivu makali ya kichwa upande wa kushoto baada ya kujifungua kawaida.Dr alisema ni kawaida kuumwa kichwa kwa mama anyonyeshaye ila naona yanaongezeka zaidi.Je kama ni kawaida yatachukuwa muda gani kupona? Nilipima HB iko sawa. Asanteni kwa ushauri.
Website yake inaonesha kuwa tarehe 29 januari atakuwa na watu wote dar kwa ajili ya kufungua mwaka,inawezekana kuwa viwanja vya biafra kinondoni ila hawajasema.ubarikiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.