Ngoja tukavutane mashati huko huko.
Kwani nikizama mkoani kabisa kwenye hazina ya mkoa siwezi pewa hiyo pesa nihamie kwangu nishachoka kulipa kodi na umri wangu wa kustaafu ushasogea!
Hili suala ni very sensitive ila naona mamlaka zimekaa kimya au jamaa hagusiki kama yeye mwenyewe anavyopendaga kusema kuwa yeye hakuna anayeweza kumgusa.
Watoto wakiwa mbali na mzazi wa kiume wanakosa hata kujiamini.
Wanaume wachache tunaojitambua hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu na azidi kutuongoza katika kutekeleza majukumu yetu.
Acheni fikra finyu mpira ni dakika 90.
Simba imeaminiwa na ni timu kubwa hivyo na sisi tunaamini itafanya vizuri na sisi kama Watanzania tuna imani kubwa na simba.
Simba nguvu moja.
Simba ni baba wa soka la kimataifa kwa nchi hii.
We jamaa tena Tanga waleta ujinga wako ngoja ukutane na matego ya kizigua na usinga maji utaifa mma
Siku zako zinahesabika pole sana kwa ndugu jamaa na marafiki wa familia yako.
Takriban siku ya tatu sasa huu mtandao wa simu mtumiaji hawezi kujiunga na huduma yoyote zaidi ya kupigiwa simu apokee.
Tatizo nini au mshaufuta rasmi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.