Yani mm sijui nisemeje wanawake hatupendani kabisa, mm imeshanitokea nilienda crdb bank
nikamuomba dada mmoja ambae anafanya kazi pale anipatie deposit slip zilikuwa zimeisha jamani alinijibu vibaya
kwa kweli nilijisikia vibaya sana nikasema hii ni slip tu naomba, ingekuwa ni kitu cha...
pole sana mama, kaa na hao watoto wote ujue walianza lini na ninani aliwafundisha huwo mchezo
mchafu, pengine walianza muda mrefu huwo mchezo ili ujue utawasaidiaje, na ikiwezekana wapeleke
hospital doctor akawacheki naimani atakupa ushauri mzuri zaidi.
Pole sana, Jiamini wewe umeshakuwa mtu mzima na umuombe sana Mungu akuongoze yeye ndie anaye weza.
kwanza jiulize amepata wapi no zako za simu mpaka kukupigia, huwenda na yeye hajisikii vizuru kwa kitendo
alichokuwa anataka kukifanya, wewe nenda ukamsikilize ila usiende peke yako tafuta...
Kiwanja kinauzwa bei poa kipo Arusha Sakina sailentin mita 500 kutoka barabarani,
bei Milioni 8.5 ukubwa ni 22 kwa 17 kina umeme na maji
mawasiliano 0754320077/0655320077/ 0717010310
Nadhani alichukua simu kwa madhumuni ya kutaka kusave no yake
ili abeep kwake ndio ikamletea mbwa dah sio vizuri kabisa cha muhimu
huyo dada aachane nae hana maana kabisa huyo jamaa.
sikuona sababu ya huyo jamaa kusave no ya huyo dada kama utamsave mbwa haina maana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.