Leo asubuhi around saa 3 pale traffic lights Magomeni nimeona askari magareza wakimpa kipigo cha mbwa mwizi dreva wa fuso kisa eti amekaa kupisha gari la wafungwa.
Sisi wapita njia tumesikitishwa sana na kitendo hiki kwa kuwa hakukuwa na ulazima wa kumpiga kiasi hiki kwa sababu hakuwa mbishi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.