Uzi uko vizuri sana.Tatizo mnapenda muandike nyinyi tu.Midoli ikiwa uchi kuna tofauti gani na picha za utupu?
Msipende kukosoa kila kitu jaribu kukubali mawazo ya wengine pia.
Kwa namna hiyo midoli ilivyoundwa lazima kwa mwanaume RIJALI ikushughulishe.Kama ww hupatagi hisia consult a physician utakuwa na changamoto ya erection.
Kama kuna mtu anahitajika sana kwa manufaa ya watu wa hali ya chini basi mtetezi ni Paul Makonda.Kijana jasiri mwenye uthubutu na asiyemuogopa wala kutishwa na mtu yeyote.Makonda ni zaidi ya bulldozer!
Najuta kujiunga na nyinyi.Nilikuwa nikijaza jiko la gesi ndogo kwa sh 23000 natumia mwezi mzima lkn humu m-gas imekula 50000 kwa mwezi kwa matumizi yaleyale! Nimejirudia home!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.