Pasco maelezo yako yanaonekana ni mazito lakini jaribu kutumia lugha moja au Kiingereza au Kiswahili. Pili jaribu kupanga hoja zako na mantiki katika kuwasilisha kwani una mawazo na hoja nzito.
Kuna ka mtindo kameanza kujitokeza ka udini. Inaonekana waislamu wanapenda sana kujificha kwa kuzusha ukristo ili hoja halisi isjadilwe au kukwepesha hoja kwa nia hasa ya kuendeleza udini yaani uislamu.
Ndivyo yaliyojitokeza wkati wa uchaguzi mkuu. Baadhi ya waislamu walipiga kelele juu ya...
Tatizo la wanaume ni kutokujua asili na tabia za wanawake. Wengine wanataka wanawake wawe sawa na wanaume. Haiwezekani. Mungu hakuumba hivyo. Muhimu ni kwa wanaume kujua mwanamke ni mwanamke na anatabia ya ndani na maelekeo tofauti kabisa na mwnaume. Hapo tutaheshimiana zaidi. Cha maana tu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.