Lakini ni taaamuuuu sana mkuu,hata mimi nilikuwa sijui,ila baada ya kula samadi mpaka leo huo ndio ugonjwa mwangu,naanzia kula kaima halafu namalizia mkainda.
Hahaaaa Ngabu,utanivunja mbavu bro,yaani umeamua kumchomesha mahindi,mwenzio anagonga hodi halafu anajibiwa na kasuku,hayuuuuuuuupoooooooo katoooooooooka,hahaaaaaaa,yaani mtoto katoka Tandika sijui Tandale na joto loote la jiji,kafika akijua utafungua mlango umpe hata juice anywe? daah.
Ngabu the great of all,wewe ni kama mchawi lakini sio,ni digital ndio inakupaisha,so achana na makenge bluu,watoto hawaishi kukulilia,umekuwa kama zimwi linakula watoto wa jukwaa na haliwamalizi,ubarikiwe mkuu,mimi ningepata bahati hiyo nafikiri sasa hivi ningekuwa nimeoa wanawake wanne.
Kwa mahitaji ya gadget za uhakika,unaweza kuja pm,ninazo aina tatu,the best ni ile ambayo unasogeza gadget half inch nside,hapo inakuonesha reading einther ni safe ku do,or not safe to do,inasoma hormones za kike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.