watu wengine wajinga,anataka tujue kama amechaguliwa,nadhani wewe ni limbukeni au umefika A-level kwa kuunga unga tu,kwani walimu siyo binadamu,**** nini?
huyu bwana nadhani akachunguzwe, alihaidi atajenga barabara ya kupita hewani,imeishia wapi?leo amekuja na ndoto za kujenga reli, ahaa hii balaa bora uzaliwe mbwa ulaya si bongo.
Mimi mwenyewe nashangaa wanamwita waziri mkuu mstaafu,nadhani tungejibiwa na wataalamu,kustaafu ni nini na kujiuzuru maana yake nini,nimesikia juzi alipoenda Loliondo walidai waziri mkuu mstaafu, tujibuni jamani
Wana FR naomba mnipambanue,mbona nasikia akina Ridhiwan yule mama Salma si mama yao,au amezaa wote 8 na mama Salma alafu kuna wengine waliozaliwa na Ridhiwan basi atakuwa ni balaa,kidume cha mbegu,alafu elimu yake itakuwa haijamkomboa watoto wote wa nini usawa huu.
CV yake haitishi...
Nadhani hao ndugu zangu kwanza hawana cha kufanya,alafu kishindo gani hicho kwani asilimia 61 na asilimia 80 za mwaka 2005 kipi kishindo?tuwapeleke darasani wakasome hesabu za sehemu na asilimia.
Nyerere alichokiongea ni kweli,hawa jamaa zetu wana ukabila sana alafu umewasahau na wahaya,kama ndo wahaya wanaonekana wamesoma kuliko wote kumbe ni sababu ya expose iliyopo sababu ya kubebana,akiwa waziri utakuta hata mfagizi ni kabila lao. Naunga mkono asilimia zote.wanyakyusa,wachaga na...
Mimi nina muda mrefu simsikilizagi kilaza kibonde,nadhani kwanza tuangalie elimu yake ikoje?au ni kada wa ccm maana mara nyingi kwenye hafla za ccm anakuwaga mc.
Ama kweli ufalme wa mbingu watafika wachache,lakini wakumbuke kilio cha wengi ni kilio cha mungu,kila jambo lina mwisho,wako wapi akina kumzu banda na wenzie,lakini poa tu kila jambo lina mwisho
Ahaa nimeipata hiyo. kweli pesa za ufisadi zinafanya kazi,lakini namshauri Mh. SITTA asubiri mwaka 2015 aje achukue form za uraisi,ila sasa wale wanawake wataweza uspika au ndo kubeba mafisadi,HAKUNA BUNGE litakuwa la ajabu kama hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.