kwa hakika malipo yale yanastahili majina yote mawili: wizi na rushwa, ukitaka weka hongo, na unaweza kutupia ufisadi. huu ni ufisadi ulioidhinishwa na bodi ili kujinufaisha. kwani kuna tofauti gani kati ya maamuzi ya bodi na mabaraza ya madiwani wa ccm ambayo yalikuwa yakihamisha mali za...
nyie ozzie7 na kimilidzo mnaowashambulia watu wa kusini kuwa wanastahili shida kwa sababu ya ushemeji na kikwete na kuviunga mkono ccm na cuf ni mbumbumbu. tatizo la JF ni kuwa si wote ni wenye tafakuri ya kina. kuna mazuzu humu wengi tu tunaenda nao. ama kweli ktk kundi la mamba...
Propaganda ni sehemu muhimu ya siasa, haikwepeki. Chadema wanahitaji kufanyia kazi jambo hili kwa sababu, kwanza, ni kinyume cha sheria kushirikisha watoto wadogo kwanye siasa, lakini pia, ni mtaji wa kisiasa kwa Chadema. Viongozi wa Chadema Dodoma wakusanye ushahidi madhubuti (ni rahisi...
WikiLeaks cables: Tanzania official investigating BAE 'fears for his life'
Prosecutor Edward Hoseah voiced safety fears over inquiry into 'dirty deal' involving sale of radar system to government
President Jakaya Kikwete, pictured with George Bush in 2008, had his commitment to fighting...
kaseja has proved those who contend him wrong...kwa kipindi chote ambacho yeye hakukaa golini hatukuwahi hata kufika nusu fainali...amerudi tu...na kombe...tena akiwa amefungwa goli moja tu.....apewe hongera zake....
maximo to hell...alipokuwa hapa alidai anatakiwa na timu kubwa barani afrika...
Ndugu uliyedai Scandinavia wako "reserved" kivipi wakati wenyewe huchakachuliana kisimamiecho kwenye mabustani na subways kavukavu? Labda ni mashambani lakini mijini hakuna cha "reserved" wala nini. Suala la ubaguzi linachangia kwa kiasi kikubwa. Maana wanawake wanaogopa kuwa na mahusiano ya...
Suala la watoto/ wake /ndugu/ mashemeji na wakwe wa vigogo kuteuliwa kuwa wabunge wa chadema (viti vya upendeleo) ulilishughulikiaje? Je, inawezekana kuwa ile orodha ya kwanza ambayo wakubwa wa Chama waliitolea macho huenda haikujumuisha majina ya watu wao? Kurudisha majina ya watu walewale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.