ni shule ya wapi hii? hakika nimesikitika mno.Nape kaiona? maana yuko mstari wa mbele kueleza mafanikio yao binafsi ya miaka 50 ya uhuru. nawapa pole hawa watoto na kuwatia moyo kwa hali hiyohiyo wasome kwa bidii na mwalimu wao ataingia mbinguni
umesema kweli kabisa watu milion 40 hivi kuna mashoga wangapi? wazungu wana matatizo ya fedha kwa wakati huu hivyo kutishia kuacha kutoa misaada kwetu maana yake fedha chache waliyo nayo itumike kwao. sasa ili kuzuia viongozi wetu kwenda kuomba ndo wameweka sharti. mimi binafsi siono kama kuna...
nimeyaona madhara ya ukimwi hadi natetemeka unaposema kufanya mapenzi na mtu unayefahamu kabisa kwamba ameathirika. mimi nakushauri kuepuka kabisa na kama unataka kuishi kuacha kabisa ngono. ipo faida kuliko hasara. ni maumivu makubwa mno
mie huwa namhurumia sana Mheshimiwa Pinda ukifika wakati huu. sipendi kumbeza sana lakini nafasi ile inamfaa mheshimiwa Magufuli. binafsi namwomba Mheshimiwa Mnyika amsamehe tu waziri mkuu kwani kazi hiyo ni ngumu sana kwake.
hakika niliposoma nilitetemeka lakini huyu aliyesema changanya na za kwako kanirudisha nilikokuwa. nakunya pepsi angalau moja kwa siku tena ya baridi. bado sijaona dalili za kuyeyuka mifupa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.