Mbowe kaamua kuinusulu ccm kwa kumleta lowassa.asiye weza kujenga hoja mtu Zaifu kimkakati.ccm ilitakiwa ikutane na slaa ndoo ingechambuliwa uchafu wake. Ndio maana watu wengine tunaamini mbowe ni ccm
Acha waingie barabarani wakutane na police . wengine tumesha ludi kutafuta liziki za family . wengi wetu tunaamini siasa hadi 2020 sasa hivi ni kazi tu
Acha roho mbaya mimi na wewe tuko njia moja.kumuombea mtu mabaya hiyo sio sawa .hii ni siasa tu baada ya uchaguzi hayo mambo ya kutompenda mtu kisa siasa haisaidii chochote
Kubenea huyu jamaa ni muungo kuliko muhongo. Alivyo kuwa anamwandika vibaya lowassa siamini kama sasa hivi anamwandika vizuri. Hapo ndipo anadhihilisha yeye ni bigwa wa uongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.