Mta tapatapa sana ccm mwaka huu na mungu ndo anajibu sauti ya watanzania viva lowasa, hapa ni kubadilisha mstakabali wa inch (mfumo wa ccm) , kaa chini unawe uso uone mbele , ccm is over
NOTED; Taratibu tutaelewana tu, watabakia wachache mahaba niue kwa sababu ya matamanio yao ya ahadi hewa....
Sisi tupo kikazi zadi huku tukitafakari kuwa shugulikia mafisadi pole pole ili watanzania waishi vizuri kwenye nchi yao iliyojaa maziwa na asali.
Mwaka huu nimeongeza nguvu ya imani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.