Kubali ukatae CCM hamna jipya na zungumia wewe usijumulishe watanzania wote, maana nami nimtanzania ila ninamawazo tofauti na CCM.
Pili usilazimishie mawazo kuwa watz lazima wawe ccm, ukiwa hivyo wewe utakuwa mjinga wa neno DEMOCRASIA unatakiwa kueleweshwa.
Unae sema CCM itatawala milele imekuwa MUNGU? Najua kujifariji sio vibaya ila kujifariji kupita kiasi ni hatari kama lile unalojifariji nalo lisipo fanikiwa
Natumia receiver aina ya DVB - S2 Satellite receiver (MediaCom MFT - 940 Plus) kwa kutumia Dish dogo, nimeifunga kwenye NILESATE 7°W, na signal zipo vizuri. Ila tatizo channel za kitanzania zote sauti zinakatakata, tatizo ni nini? Nifanye nini ili niwe nazipata vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.